Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hii nchi siyo ya waislamu na wakiristu peke yao...Uko sahihi.
..Lakini serikali ya Ccm huwa haikosei.
..Kwa hiyo kuliko Waislamu kulaumu kwa miaka 27, ni afadhali na wao wangetengeneza "MOU" na serikali.
Sahihi kabisa !Kipindi kizuri cha kushughulikia katiba ni punde tu baada ya uchaguzi mkuu huu wa 2025. Kipindi hicho tutakuwa hatuna pressure ya uchaguzi. Hivyo tutafanya jambo letu tukiwa na utulivu wa akili. Maana tukumbuke, katiba si uchaguzi tu, bali inahusiana na mambo mengi sana. Hilo litatusaidia kutonaswa kwenye mtego wa kudhani katiba ni sheria ya uchaguzi hivi kwamba tunaweka kando mambo mengine yote na kufikiria katiba itakavyoelekeza uchaguzi.
Hii nchi siyo ya waislamu na wakiristu peke yao.
"Serikali ya ccm huwa haikosei" hivi wewe platnum member unawezaje kuandika upumbavu kama huu??
Hiyo ni biashara ya watu. Suala ninalosema hapa ni serikali kuacha ku sponsor biashara za watu ambazo ni religion oriented hasa katika nchi yetu ambayo ni secular.
Hapa nimesema dp world Kuna mafungamano na waislam Kwa ku assume. Kama unakumbuka wakati suala lina trend, Muslim community yote ikiunga mkono bila hata kuhoji.
Ukizingatia pia ni waarabu na mkuu wetu wa nchi(final say) ni Muslim unaona Kuna mafungamano fulani baina Yao.
Hii nchi siyo ya waislamu na wakiristu peke yao.
Hayo ni mambo ya wanasiasa, yanalenga kuwasaidia wao kisiasa kuliko Taifa. Ila hili la MoU ni la kitaifa!..Samia katoa mil 150 kujenga kanisa.
..Magufuli alichangisha fedha kujenga msikiti.
..bado unaamini hii sio nchi ya Waislamu na Wakristo peke yao?
Hayo ni mambo ya wanasiasa, yanalenga kuwasaidia wao kisiasa kuliko Taifa. Ila hili la MoU ni la kitaifa!
Huu Uzi sifuti na ubongo hewa ni WA baba Yako.Akisoma huu mchango amini nakwambia jamaa atatamani aufute uzi wake kukwepa aibu ya ku expose ubongo wake hewa.
Hapo kwa baba yangu kuwa ubongo box hewa hujakosea ni ukweli kabisa. Lakini haifuti ukweli na wewe ni kama baba yangu..Huu Uzi sifuti na ubongo hewa ni WA baba Yako.
Nilichosema nahisi waislam wamelipa kisasi,hii ni kama mbinu za hamas pale ambapo umati hautaki kuwaelewa hivyo kutumia mbinu za kujitoa ufahamu.
Uchukue Kodi ya umma uka finance biashara ya watu especially ya kidini katika nchi ambayo si ya kidini,unaona ni haki kweli hiyo??
NAKAZIA!!!Wakati sakata lile linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.
Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .
Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la dp world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.
Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake
Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kuji sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???
Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.
Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.
Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.
Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
Unaona Umeongea point kumbe kinyesi tu nani kakuambia bandari imeuzwaDPW ule ulikuwa ni mkataba wa hovyo serikali iliyoingia na waarabu kuendesha bandari zetu, sasa ukisema unaamini waislamu walitumia ile kama kigezo cha kulipa kisasi hapo unaonesha kumbe hao waislamu watakuwa wajinga.
Wajinga kwasababu madhara ya ule mkataba wa hovyo waliyoingia yatatuumiza wote, hayatachagua mwenye dini au mpagani, sasa kwanini wakatumia kigezo hicho kulipa kisasi kwa jambo litakalowaumiza mpaka wao wenyewe?!
Hii mada yako ni ya kufikirika zaidi, haijasimama inavyotakiwa, na umeharibu zaidi pale uliposema unaamini wanatupiga ila hujui how?!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mleta mda ni punguani tuDPW ule ulikuwa ni mkataba wa hovyo serikali iliyoingia na waarabu kuendesha bandari zetu, sasa ukisema unaamini waislamu walitumia ile kama kigezo cha kulipa kisasi hapo unaonesha kumbe hao waislamu watakuwa wajinga.
Wajinga kwasababu madhara ya ule mkataba wa hovyo waliyoingia yatatuumiza wote, hayatachagua mwenye dini au mpagani, sasa kwanini wakatumia kigezo hicho kulipa kisasi kwa jambo litakalowaumiza mpaka wao wenyewe?!
Hii mada yako ni ya kufikirika zaidi, haijasimama inavyotakiwa, na umeharibu zaidi pale uliposema unaamini wanatupiga ila hujui how?!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huu ni utumbo tu. Hakuna point yeyote ya maana ya kujadiliWakati sakata lile linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.
Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .
Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la dp world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.
Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake
Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kuji sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???
Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.
Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.
Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.
Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
Pia wasio na dini wakumbukwe...Samia katoa mil 150 kujenga kanisa.
..Magufuli alichangisha fedha kujenga msikiti.
..bado unaamini hii sio nchi ya Waislamu na Wakristo peke yao?
..mou haiwezi kufutwa bila Ccm kutoka madarakani.
..Ccm huwa hawakubali kuwa wamekosea.
Uislam sio taasisi tujenge vyuo wakati Tanzania Kuna vyuo vya kutosha dunia nzima Kuna vyuo? Hii ni dini sio taasisi za biashara kama nyie mfanyavyo sisi wajibu wetu ninkutimiza nguzo tano na kutafuta elimu popote paleNi aibu mpaka leo Waislam wana Chuo kikuu kimoja tu Tanzania nzima. Tena cha kupewa Bure[emoji1787][emoji1787].Wakati wangeweza enda Kigoma ambapo uislam ni karibia 80% ya watu au Zanzibar, Lindi na kufunguwa Matawi ya chuo na kupata hela ya maana. Tatizo kubwa la hawa watoto wa kijakazi ni wivu, Husda na Chuki kwa Baraka na amani walionayo Wakristo! Kubalini kuwa aliewai kawai! Ata mkitoa mapovu yajaze pipa jueni kuwa Mpewa Apokonyeki. Dini yenu inawachanganya sana mpaka amjui nini ukweli nini ushetani: kwingine mnaambiwa kuwa Kitabu (elimu dunia na haram)- Bookharaam-- Kwingine mnaambiwa mtafute elimu ata mpaka uchina!!Ukisoma maandiko yenu Waislam zipo khadithi juu ya Vitabu vyenye elimu batili na Elimu iliyo bora(ya china) ! Why China???Wafuasi wa Uslam wa karne ya 6-7 Walikuwa wanaenda China ki Biashara, huko walijifunza Elimu mbalimbali zikiwemo za kitibabu, Utawala etc. na China waliwapa Kiwanja Ukajengwa Msikiti China mwaka 627. List of mosques in China - Wikipedia.
Kuna kisa kingine hapa, (Mpaka Leo hii- Waislam wameamisha ilipo Kibra mara tatu- Ukisoma historia Kibla ya Msikiti huu aielekei Macca!! Na pia Macca ambayo Mohamed alikuwa anaishi na kuielezea sio hii Macca ya Saud ya Leo-Quraan imebadilishwa (kuwa Edited zaidi ya mara 4) .Next time tukiwa na Muda tutaidadavua yote! Hakuna Dini ya kweli wala ya haki hapa
Punguani baba YakoMleta mda ni punguani tu
Kabisa kabisa hata wewe sperm yake ubongo box hewa. Inaonekana umerithi.Hapo kwa baba yangu kuwa ubongo box hewa hujakosea ni ukweli kabisa. Lakini haifuti ukweli na wewe ni kama baba yangu..
Happy new year mkuu