Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Habari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah pole mkuuHabari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
Asante mkuu.dah pole mkuu
Hongera mkuu, msoto wa ujobless usikie tuu.Nilimaliza tu na kuajiriwa....
Ashukuriwe Mungu.
wapi hioAsante mkuu.
Nipo mwanza Kaka.wapi hio
Cha muhimu ni kupata pesa mkuuNiliuza bar🤣
Pair moja mkuu? U can't be serious mkuu😄😄Kwa vijana wa familia za kawaida,.maisha after chuo huwa magumu balaa.
Mi nilihudumia kwenye catering company ya mama wa mshkaji wangu mmoja, nikarekodi nyimbo niwe msanii, nikasaidia mafundi ujenzi na mwisho nikapanga pair moja ya viatu pale double road (Moshi) nikitumaini kupata mteja (na hakutokea 😁) Kisha, nikapata ajira.
Great run for 1 year.
Una miaka mingapi?Habari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
Nilikuwa na mshkaji wangu, yeye alikuwa na pairs nyingi zaidi.Pair moja mkuu? U can't be serious mkuu😄😄
28Una miaka mingapi?
Kwanini umeuliza mkuu?Una miaka mingapi?
uko nje ya madaNilimaliza tu na kuajiriwa....
Ashukuriwe Mungu.
Nipe connectionnendeni gereji wajinga nyie
So uliamua kukivaa mwenyewe sio.Nilikuwa na mshkaji wangu, yeye alikuwa na pairs nyingi zaidi.
So, nikawa najaribu kuanza na nilichokuwa nacho.
Kuna kazi nataka nikuconnectKwanini umeuliza mkuu?