Baada ya kumaliza chuo ulifanya biashara gani ili kujikimu na maisha kabla ya ajira?

Baada ya kumaliza chuo ulifanya biashara gani ili kujikimu na maisha kabla ya ajira?

Habari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
Kuuza ice cream zile za mia mia pamoja na barafu, kipindi hiki cha joto kali nilikuwa napata wateja mpaka wananizidia. Nilienda mpaka kununua recipe mtandaoni ya kuboresha ice cream zangu ziwe na rojo vizuri😃😃
 
Habari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
Kaza buti, jifunge mkanda, plan strategically and never ever overspend. Bishara inaweza kukutoa ukasahau kabisa mambo ya kutafuta ajira, there will always be a lot of ups and downs lakini mapambano ya utafutaji huwa yako hivyo. Remember obstacles and challenges will make you stronger and by the end of the day you will prevail. 💪 💪.
 
Kaza buti, jifunge mkanda, plan strategically and never ever overspend. Bishara inaweza kukutoa ukasahau kabisa mambo ya kutafuta ajira, there will always be a lot of ups and downs lakini mapambano ya utafutaji huwa yako hivyo. Remember obstacles and challenges will make you stronger and by the end of the day you will prevail. 💪 💪.
Asante kwa kunitia moyo mkuu. Ila nishapambana sana biashara ambazo nishafanya sijaona hata faida zaidi ya loss, ila bado nakomaa. Barikiwa sana.
 
Back
Top Bottom