PUFF DADDY
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 391
- 803
yagereji auNipe connection
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yagereji auNipe connection
Nitashukuru mkuu.Kuna kazi nataka nikuconnect
Ndioyagereji au
Ulimaliza chuo na miaka mingapi?
Ambao hatukufika chuo tunacomment wapi!??🤔Habari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
sema sasa wewe umri mkubwa nitashindwa kukupiga makonzi wakati wakukufundisha uinjiniaNdio
ComedyHabari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
Unakaa na wazazi au unajitegemea
Nipo mtaani miaka minne so nilimaliza na 24.Ulimaliza chuo na miaka mingapi?
Bora nyie mlianza kujitafuta mapema.Ambao hatukufika chuo tunacomment wapi!??🤔
Hapana mkuu nitakua mtiifu kama Kuna kiingilio nitatoa pia.sema sasa wewe umri mkubwa nitashindwa kukupiga makonzi wakati wakukufundisha uinjinia
mana umenizidi umri miaka minne
Kwamba hata wewe utahaso kwenye sita kwa sita style zoteKama ningekua mwanaume sijui ingekuaje namshukuru Mungu kwakuniumba mwanamke 😍😍
Story ni ndefu ila ninajitegemea kibishi mkuu.Unakaa na wazazi au unajitegemea
DuuuhNipo mtaani miaka minne so nilimaliza na 24.
Sawa ila mkunyo na mibinukoRaha tunapata woteee
Yaani nataka kukushauri kitu maana mimi nafanya kazi kwa certificate na passport tuuNipo mtaani miaka minne so nilimaliza na 24.
Nishauri mkuu.Yaani nataka kukushauri kitu maana mimi nafanya kazi kwa certificate na passport tuu
Ungeenda kusoma vyeti vya ubaharia ( 3 month) tuuNishauri mkuu.
Chuo kipo wapi mkuuUngeenda kusoma vyeti vya ubaharia ( 3 month) tuu
Dah ndoa ikakukoa na umasikini.Kama ningekua mwanaume sijui ingekuaje namshukuru Mungu kwakuniumba mwanamke 😍😍