Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 620
- 370
Una uhakika?Tz hakuna corona ,
Yatatisha sana,nijambo la hatari sanaTafadhali msifute uzi huu.
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyia Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya Covid-19.
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Ni kweli Mungu anaweza kutulinda, lakini kwa makusudi haya Mungu pia aweza kutuacha.Mungu atatulinda...
Maana ukitazama kwa makadirio ni asilimia labda 5 tu ya umati wote uwanjani ndio waliojali na kuvaa barakoa, sasa sijui kwa wale waliojipanga njiani n.k
Mkuu lakini Kama viongozi wetu wangekuwa makini juu ya hili wangeliepusha taifa na janga hili.Yatatisha sana,nijambo la hatari sana
they said that. and here we are with sadnessTz hakuna corona ,
Maafa yatakapozidi labda viongozi wetu wataliona hiloHii kitu tunaifanyia sana masihara sijui mwisho wake utakuwa vipi.
Hakika upo sahihi.Mkuu lakini Kama viongozi wetu wangekuwa makini juu ya hili wangeliepusha taifa na janga hili.
Angalau dar sasa ipo huru, harudi tena, baada ya tarehe 26 nchi nzima tufanye ibada za kumshukuru Mungu kwa matendo yake makuuTafadhali msifute uzi huu.
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyia Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya Covid-19.
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Uzuri ni kwamba inawapiga sana tuMaafa yatakapozidi labda viongozi wetu wataliona hilo
Kwa mkusanyiko wa jana na leo nakuhakikishia huo mlipuko baada ya siku 14 utasikiaAngalau dar sasa ipo huru, harudi tena, baada ya tarehe 26 nchi nzima tufanye ibada za kumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu
Mkuu unajua watu wengi wameaminishwa kuwa hakuna Corona Tanzania, na hakuna anayekufa kwa Corona. Wanaenda kwa imani hiyohiyo mpaka leo. Hatari sana.Hakika upo sahihi.
Ila na watu nao wameshindwa kujua kuwa kuna corona?
Tena wengine ni watu wazima kabisa unaenda kusukumana hujavaa barakoa!
Uchuro wa nini mkuu?Acha uchuro