#COVID19 Baada ya kumaliza Maombolezo ya kumuaga mpendwa wetu Magufuli, tujiandae na maambukizi mapya ya COVID-19

#COVID19 Baada ya kumaliza Maombolezo ya kumuaga mpendwa wetu Magufuli, tujiandae na maambukizi mapya ya COVID-19

Mungu atatulinda...

Maana ukitazama kwa makadirio ni asilimia labda 5 tu ya umati wote uwanjani ndio waliojali na kuvaa barakoa, sasa sijui kwa wale waliojipanga njiani n.k
Barakoa tu. Distance hand wash = 0
 
Tafadhali msifute uzi huu.
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya Covid-19.

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.

Jifunze kuomba mema!
 
Labda wewe ila mtaani shughuli zinaendelea kila siku na hakuna vifo wala maiti kuzagaa mitaani,

Iyo corona mnayoipamba kwa ngonjera kila siku utazani mmelipwa kuihubiri Mtaani hatuioni, kawambie na waliokutuma kwamba huku maisha yanaendelea kwa furaha.

% kubwa ya watanzania wote wanatumia daladala kama sehemu ya usafiri, wana banana humo kama walivyokuwa uwanjani.

Kwa hesabu ndogo tu, Daladala zinazobeba watu tena wakiwa wamebanana Tz kwa siku moja ni Mara 5 ya hao walokwepo hapo uwanjani tena wakiwa wanatoka maeneo tofauti tofauti, ayo maafa unayohubiri yangekuwa yameshaonekana kitambo tu

Ombi langu kwa watu kama wewe, Acheni kutisha watu kwa mihemko yenu.
 
Labda wewe ila mtaani shughuli zinaendelea kila siku na hakuna vifo wala maiti kuzagaa mitaani,

Iyo corona mnayoipamba kwa ngonjera kila siku utazani mmelipwa kuihubiri Mtaani hatuioni, kawambie na waliokutuma kwamba huku maisha yanaendelea kwa furaha.

% kubwa ya watanzania wote wanatumia daladala kama sehemu ya usafiri, wana banana humo kama walivyokuwa uwanjani.

Kwa hesabu ndogo tu, Daladala zinazobeba watu tena wakiwa wamebanana Tz kwa siku moja ni Mara 5 ya hao walokwepo hapo uwanjani tena wakiwa wanatoka maeneo tofauti tofauti, ayo maafa unayohubiri yangekuwa yameshaonekana kitambo tu

Ombi langu kwa watu kama wewe, Acheni kutisha watu kwa mihemko yenu.
😳😳😳
 
Sipingi ubashiri wako ila nakuuliza tu swali lifuatalo,
Ni lini ulipita mtaa wa Msimbazi, Aggrey, Msimbazi na Kongo?

Tangu Corona ianze hiyo mitaa watu wanapumuliana na hawajawahi kuchukua tahadhari yoyote.

Sipo hapa kubisha juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa Corona nchini Tanzania.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tafadhali msifute uzi huu.
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya Covid-19.

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Unaweza kuwa na hoja lakini umeiwakilisha kwa hisia potofu. Kila mtu anawajibika kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi kwa kuzingatia ushauri unaotolewa mara kwa mara.

Kwamba maambukizi yataongozeka kwa sababu ya mikusanyiko kwenye tukio la sasa, ni kusahau kwamba wakati wa Kampeni za uchaguzi mikusanyiko ilikuwa mikubwa kila kona ya nchi (Mijini hadi Vijijini)
 
We mjinga kweli, kila siku watu wanajazana Kariakoo,Ubungo na mitaa mingine, uwanja wa taifa kucheki mipira, makanisani, misikitini,kwenye matamasha ya mziki, bar na night clubs hatujashuhudia hayo maambukizi mapya, ila wakikusanyika kumuaga JPM ndo tunapata maambukizi mapya et?
Tatizo lenu wapinzani wa bongo hamueleweki mnasimamia nini haswa wasipojazana kumuaga mtasema alikua hapendwi, wakijazana mnasema corona . Upinzani wa bongo sidhani kama itatokea ubebe nchi hata ubunge unaptaga kwa upepo wa siasa tu mfno. Upepo wa Lowasa.
Fvck you pinga pinga.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Barakoa Tsh 500 hivi hatakama hakuna Corona kinga muhimu kuliko tiba Tanzania tuna akili ndogo sana
 
Haya maneno wewe sio wa kwanza asee.
Mnatamani sana lakini Muumba anatulinda kwakweli.
Rejea mikusanyiko ya nyuma kwenye soka,kampeni n,k
Hivi wanaotangaza kuugua corona na inaowaondoa haitoshi kuwa picha?
 
watu wanajazana kwenye mabasi na kariakoo hamsemi, kwenye kuaga mwili ndio mnakuja na ngonjera. kwanza si naskia watu walikuwa kidogo sana.
 
Back
Top Bottom