NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kwenye ao 1000 ukiwemo wewe na familia yako itakua poa sana,si eti bwashee?Mi naona watu wafe wengi angalau 1000 kwa siku ili akili zirudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ao 1000 ukiwemo wewe na familia yako itakua poa sana,si eti bwashee?Mi naona watu wafe wengi angalau 1000 kwa siku ili akili zirudi
Mi na familia yangu si wajinga kama nyie wapuuzi miloenda jazana uwanjani bila tahadhariKwenye ao 1000 ukiwemo wewe na familia yako itakua poa sana,si eti bwashee?
Ahaa wapi,imebuma iyo.Unadhani atatiwa kwenye sanda huyo? Kuna ile mifuko ya kuzuia virusi visisambae na watu maalum wa kuzika maiti aina hiyo...
Mwache afanye dhihaka na ujuba wa kisiasa tutamsikia...
Ahaa wapi,imebuma iyo.
Tafuta nyingine.
Sawa,kwenye ao 1000 utakufa wewe na familia yako mkiwemo,usijali maombi yako yatapokelewa.Mi na familia yangu si wajinga kama nyie wapuuzi miloenda jazana uwanjani bila tahadhari
Yap,shika chini nikupelekee moto.Kumbe tunaongea na walagi...
Inamana ww Babu zako, Bibi zako walikufa kwa Corona au bado wapo hai? Hakuna kiumbe Kitachobaki Duniani... Usipokufa kwa Corona utakufa kwa Ajali, Usingizini, Malaria, Ukimwi, Cancer etc.Unadhani atatiwa kwenye sanda huyo? Kuna ile mifuko ya kuzuia virusi visisambae na watu maalum wa kuzika maiti aina hiyo...
Mwache afanye dhihaka na ujuba wa kisiasa tutamsikia...
Hahahaaa! Kwahio unajiona mjanja mwenyewe. You think Hutokufa sababu hujaenda Uwanjani?? LOL. Mungu wa ajabu, unaweza kufa ww Usingizini ukawaacha hao walioenda uwanjani.Mi na familia yangu si wajinga kama nyie wapuuzi miloenda jazana uwanjani bila tahadhari
KalaghabahoBeberu weeee !! Tanzania hakuna corona
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.
View attachment 1731117
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Mkuu Msiba huu ni mzito kuna mambo ni magumu kuyasimamia, tuombe tu huruma ya Mungu.Mkuu lakini Kama viongozi wetu wangekuwa makini juu ya hili wangeliepusha taifa na janga hili.
Hata ikiwepo itatangazwa?Tz hakuna corona ,
Ni kweli kabisa.lakini angeanza mh.rais samia.angalau watu wataanza kujikinga.Chonde chonde watanzania wenzangu tusione aibu kuvaa barakoa kwenye misongamano kama hizihizi tunajiweka kwenye hatari ya kusambaza maambukizi ya corona virus diseases kwa kasi kubwa sana kwa nini hatuoni hili?
Kwa hiyo wakijazana huko kwenye mechi za simba shwari wanaonyesha uzalendo ila wakijazana kwenye kuaga tujiandae na maangamizi ya corona !!! Corona ipo lakini ukiruhusu hofu itawale majanga yake ndio usipime. Hapo watu wataumwa lakini kama hakutakuwa na hofu wataishia kumeza dawa za mafua na kujifukiza maisha yanaendelea. lakini anza sasa zile za kutoa takwimu sijui leo wameongezeka wagonjwa buku kesho buku tatu etc huko nyumbani hata kama ulikuwa unaugua mafua ya kawaida tu presha na magonjwa mengine yataibuka.Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.
View attachment 1731117
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.