#COVID19 Baada ya kumaliza Maombolezo ya kumuaga mpendwa wetu Magufuli, tujiandae na maambukizi mapya ya COVID-19

#COVID19 Baada ya kumaliza Maombolezo ya kumuaga mpendwa wetu Magufuli, tujiandae na maambukizi mapya ya COVID-19

Refer case ya Iran yale maandamano na mikusanyiko baada ya kifo cha kamanda Soleimani.....Watu walipata korona balaa iran ikawa kitovu cha korona duniani baada ya China Italy na wao iran wakawa nafasi ya 3

Siwatishi ila ndo ukweli

Huenda kukawa na maambukizi makubwa sana ya virusi vya Corona

Nakumbuka inasemekana iran ilifikisha hadi wagonjwa milioni 25 wa covid sijui ni kweli au tetesi tu ila hali itakua mbaya sana week kadhaa zijazo tuanze kujiandaa kabisa kisaikolojia.....
Uko sahihi maana 'Mdharau mwiba mguu huota tende'.
 
Tumaini pekee la kutupoza ni kwamba watu wengi ni vijana, wana afya nzuri na na tayari wana antibodies kutoka maambukizi ya awali.

Kama ukijichanganya humo mzee na una magonjwa, Covid-19 inakufyekelea mbali.
 
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.


View attachment 1731117

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Kaa kwa kutulia bro! Kwani si umeshajikinga we na watoto wako inatosha au??????

Unataka nini sasa au nenda uwanjani halafu toa hoja yako ya kuvaa barakoa kitakachokupata uje hapa utoe mrejesho
 
We mjinga kweli, kila siku watu wanajazana Kariakoo,Ubungo na mitaa mingine, uwanja wa taifa kucheki mipira, makanisani, misikitini,kwenye matamasha ya mziki, bar na night clubs hatujashuhudia hayo maambukizi mapya, ila wakikusanyika kumuaga JPM ndo tunapata maambukizi mapya et?
Tatizo lenu wapinzani wa bongo hamueleweki mnasimamia nini haswa wasipojazana kumuaga mtasema alikua hapendwi, wakijazana mnasema corona . Upinzani wa bongo sidhani kama itatokea ubebe nchi hata ubunge unaptaga kwa upepo wa siasa tu mfno. Upepo wa Lowasa.
Fvck you pinga pinga.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hakika[emoji122][emoji122]
 
Tunalazimishwa kuishi katika dilemma 'mkwamo'? wa "the slippery slope fallacy" kwa:

1. Kukataa ukweli kwamba covid-19 ipo duniani na bongoland.
Tumo ktk mteremko mkali kwenye gari lisilo na breki!

2. Tumepanda gari hilo kwa kupuuza maelekezo ya WHO kuhusu kupima, kutoa data, kujikinga, kuwapa watu chanjo.
Sasa inatubidi tutetee na kulinda msimamo (falsafa) wetu kwa gharama kubwa!
 
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.


View attachment 1731117

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Inasikitisha sana ,waTZ tunaichukulia poa sana UVIKO.
 
Hst
Tunalazimishwa kuishi katika dilemma 'mkwamo'? wa "the slippery slope fallacy" kwa:

1. Kukataa ukweli kwamba covid-19 ipo duniani na bongoland.
Tumo ktk mteremko mkali kwenye gari lisilo na breki!

2. Tumepanda gari hilo kwa kupuuza maelekezo ya WHO kuhusu kupima, kutoa data, kujikinga, kuwapa watu chanjo.
Sasa inatubidi tutetee na kulinda msimamo (falsafa) wetu kwa gharama kubwa!
[/QU
Tunalazimishwa kuishi katika dilemma 'mkwamo'? wa "the slippery slope fallacy" kwa:

1. Kukataa ukweli kwamba covid-19 ipo duniani na bongoland.
Tumo ktk mteremko mkali kwenye gari lisilo na breki!

2. Tumepanda gari hilo kwa kupuuza maelekezo ya WHO kuhusu kupima, kutoa data, kujikinga, kuwapa watu chanjo.
Sasa inatubidi tutetee na kulinda msimamo (falsafa) wetu kwa gharama kubwa!
Hatari sana aisee
 
2-Image-from-iOS-19-1.jpg
 
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.


View attachment 1731117

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Mikusanyiko kama hii ipo tangu mwaka jana
 
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.


View attachment 1731117

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
.
255765607140_status_86ec062601d14aef856cd107b478cd86.jpg
 
Kuna mjerumani mmoja alihojiwa akasema amekuja Tanzania kwa sababu ni pazuri hakuna lockdown, hakuna kuvaa barakoa kama kule kwao. Akamshukuru Magufuli. Na alikuwa amekuja kuaga na kusema Magufuli was very smart. Na akawa ana furahia watu kutokuvaa barakoa. Yupo na mtoto wake. Anasema walikuwa wamechoka kuvaa barakoa kule kwao na hataki hii chanjo. Link hiyo hapo chini.

 
Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.


View attachment 1731117

Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Hatuombei vifo, maradhi na Mungu atupe wepesi Insha Allah. Ila kwa kuwa tunafanya makusudi, basi tutarajie majanga makubwa ya COVID 19 in three to four weeks
 
Back
Top Bottom