kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....tamaa na kupenda makubwa!Wachagga nao watu basi
Watu walivyokuwa wanacoment alkadhalika Mange kashashusha magazeti yake kama kawaidaAnaemshauri nani?
Si ndio hapo kwa nini asiende kwenye vyombo vya sheria?[emoji23] [emoji23]Ama kweli mganga hajigangi....kumbe mwanaharakati na mtetezi wa wanawake anapigwa na mumewe?
bali anapigwa na maneno na matendo ya hekima ukimalizia na dudu la ukweli...Mke hapigwi ngumi
Huyu mwanamke hafai hata kuitwa mpenzi wa fulani, huko kuwa mke ni kumpa hadhi asiyostahiki.Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!
Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.
Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)
Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.
Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!
Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.
VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba
Wanawake ambao awako kwenye ndoa uwa ni wakosoaji wa kiwango cha ujingaBinafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!
Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.
Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)
Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.
Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!
Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.
VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba
Huyo Joyce Kiria ni zaidi ya Mmachame kwa Ukatili na Kiburi.Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.
Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.
Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.
View attachment 681349
Yaani hanaga akili huyo.Mwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .
Hivi kila mwanamke akiaza kujirecord nakutupia matatizo yake na mume wake kwenye mitandao si patakuwa hapatoshi.