Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Ingekuwa mwingine hapo ungemsikia ooh nishawasiliana na mama Kijo(chakula kwa kipare) bishimba tutampleleka kwenye dawati la haki. Puuumba kabisa huyu. Hizi ndoa kutafuta umaarufu daima huwatokea puani.
Hahaaaaaaaaa mkuu niko kwenye sherehe watu wamenishangaa baaada ya kusoma hii comment yule chizi
 
FB_IMG_1515606353700.jpg
 
Mange Kimambi ameshangazwa na hali ya Kiuchumi ya makamanda na kuhoji kwa nini makamanda wanaojitoa kwa moyo wote hawathaminiwi kwa kulipwa mishahara.

Mange ametoa rai hiyo kufuatia hali mbaya ya KIFEDHA inayowasumbua makamanda wengi akiwemo HENRY KILEWO ambaye mke wake JOYCE KIRIA (Mwanaharakati wa haki za wanawake) amelalamika kuhusu ukata unavyoisumbua familia huku majukumu muhimu kama ada na chakula yakitimizwa na Joyce bila msaada wa KILEWO.

Baadhi ya majirani wa HENRY KILEWO wamepata mashaka kuwa iwapo KILEWO atapata ubunge Mwanga 2020 iwapo atawahudumia wananchi au tumbo lake. Watu wa ndani wamegusia kuwa hali tete Kiuchumi pia imemkumba Yerico Nyerere ambae siku za karibuni amekuwa akiuza vitabu ili kuweza kujikimu.

Hali tete Kiuchumi kutokana na kutothaminiwa kwa makamanda kumepelekea baadhi ya makamanda kujiona kama makarai na kuamua kuacha siasa au kuhamia vyama vingine.
MANGE KIMAMBI ameitaka CHADEMA kuwaingiza kwenye Payroll makamanda na kuacha kuwakatisha tamaa huku Watu wachache wakinufaika.
Kaokoe jahazi feki hilo. Mange yuko marekani wewe ndiye unaijua vema hali ya hao uliowataja. CHADEMA si biashara ni kujitoa mhanga. Si mlitaka kumnunua Kileo kama vipi mnunueni mke wake basi au mumtunze huko Lumumba.
 
Tatizo ni mwanaume, kichwa cha familia unashindwa vipi kusimama katika nafasi yako!!!

Hivi hii ndoa ni ile ya kwa shida na raha?!
Kwa nini mtu usichape lapa kama unaona hafai badala ya kufanya upuuzi kama huu wa kujianika duniani?!, lengo nini haswa, kwamba Walimwengu wamsaidie ama?!..
 
Hivi hii ndoa ni ile ya kwa shida na raha?!
Kwa nini mtu usichape lapa kama unaona hafai badala ya kufanya upuuzi kama huu wa kujianika duniani?!, lengo nini haswa, kwamba Walimwengu wamsaidie ama?!..
ndo ujiulize,
 
Ila kijana kama una nguvu nakushauri upige kazii.. Ukimtegemea mwanamke ndo yana kuwa haya.. Na labda kipigo kimeanza kutolewa baada kishindwa kuvumilia dharau
kweli kabisaa uliyoyasema ktk hii sentensi ya mwisho na huo uhai
 
Ni marioo kwasababu majimama ya Limumba hayana wa kuyagegeda baada ya wale buku saba wengi kuwa misosi na wengine ndo kama kina Lemutuz....Acheni makamanda waendelee kuyaondolea stress!


Sawa marioo
 
Kunaitajika amendment kidogo kwenye mume/mke kwenye shida na raha napendekeza iwe kwenye raha tu shida kila mtu ana wazazi au mlezi ake aende na akaendelee na maisha yake mpk raha kwa pamoja irudi ndipo ndoa irudi
aiseee hizi jinsia pinzaani zimekuwa na matatizo mnoo ..haswaa pale zinapotngulia kushika pesa
 
Mwanaharakati na Mwanasiasa wamekutana, hapo ni che che tu.
 
KWANINI HATAKI USHAURI ? MBONA YEYE ANAPOZUNGUKA KATIKA HARAKATI ZA UTETEZI WA WANAWAKE HUISHAURI SERIKALI KUCHUKUA MKONDO WAKE . KWA NINI YEYE HATAKI HIVYO ,HAFAI TENA KUWA MTETEZI WA WANAWAKE
 
Mwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .

Hivi kila mwanamke akiaza kujirecord nakutupia matatizo yake na mume wake kwenye mitandao si patakuwa hapatoshi.
Anajiita Super Woman
 
Mange Kimambi ameshangazwa na hali ya Kiuchumi ya makamanda na kuhoji kwa nini makamanda wanaojitoa kwa moyo wote hawathaminiwi kwa kulipwa mishahara.

Mange ametoa rai hiyo kufuatia hali mbaya ya KIFEDHA inayowasumbua makamanda wengi akiwemo HENRY KILEWO ambaye mke wake JOYCE KIRIA (Mwanaharakati wa haki za wanawake) amelalamika kuhusu ukata unavyoisumbua familia huku majukumu muhimu kama ada na chakula yakitimizwa na Joyce bila msaada wa KILEWO.

Baadhi ya majirani wa HENRY KILEWO wamepata mashaka kuwa iwapo KILEWO atapata ubunge Mwanga 2020 iwapo atawahudumia wananchi au tumbo lake. Watu wa ndani wamegusia kuwa hali tete Kiuchumi pia imemkumba Yerico Nyerere ambae siku za karibuni amekuwa akiuza vitabu ili kuweza kujikimu.

Hali tete Kiuchumi kutokana na kutothaminiwa kwa makamanda kumepelekea baadhi ya makamanda kujiona kama makarai na kuamua kuacha siasa au kuhamia vyama vingine.
MANGE KIMAMBI ameitaka CHADEMA kuwaingiza kwenye Payroll makamanda na kuacha kuwakatisha tamaa huku Watu wachache wakinufaika.
hoja yako imekaa kinafiki,
 
Ila kijana kama una nguvu nakushauri upige kazii.. Ukimtegemea mwanamke ndo yana kuwa haya.. Na labda kipigo kimeanza kutolewa baada kishindwa kuvumilia dharau
Umesema ukweli,ila kuna vijana tunapenda kupiga kazi fursa za kupiga hizo kazi na kumudu gharama za maisha ndo ishu.
 
Back
Top Bottom