Aisee kuna wanaume wana bahati...Pole sana dada. Huyu ni mvulana na ni mzigo kwa familia. Ungekuwa mwenyewe ungekuwa mbali sana kimaendeleo, huyu anakurudisha nyuma tuu. Kama mna watoto weka mkazo kwa watoto, huyu achana naye.kwa wale wanaume ambao huwa wanahudumia familia watashangaa, na wanawake wanao hudumiwa watashangaaa ila liko kundi kubwa la joyce kama mimi hapa, nimehangaika na mwanaume namlisha namvika yani kilakitu mimi, badae nikaona kama labda kipato chake kidogo hawezi kunihudumia nikampeleka shule amesoma kozi nzuri ya afya ambayo anaweza kufanya kazi hata private nimelipa ada miaka 3 nimeishi kwa kujibana sana na mwanangu kila mwezi namtumia matumizi na ada maana alisoma private chaajabu amemaliza chuo hataki kufanya kazi anataka niendelee kumlisha cha kushangaza niliuza kiwanja ili kusapot mambo ya ada na matumizi akiwa mwaka wamwisho yule mnunuaji akatoa hela nikamtumia ametumia zimeisha na shule kamaliza kuja waandikishane akakataa eti hiyo hela hajafanyia kitu hajanunua viatu, suti, na vitu vizuri sasa ili kuondoa lawama nikaenda vikoba nikakopa hela milioni moja nikampatia ndo akaandikishana ,hapo hakunipa hata senti moja na zimeisha yani nina hasira kuliko za joyce niko najipanga kumfungulia mashtaka ya kudai talaka simtaki, kibaya zaidi muhuni , mchoyo, muongo, mwizi. akikuta cmu hapo anapitia, hela anapitia afu mlokole anajiita mtumishi wa bawana , unashangaa hata akipata kidogo utasikia tu ah fulan alinisaidiaga alinipa hela kiasi fulan lkn mimi hajawahi nipa sioni umuhimu wake nimeona nipige chini. humu jamii forum niliwahi kuomba ushauri kipindi cha nyuma hakuna hata alonijibu vya maana
hatujasikia upande wa pili jamani tusihukumu.na je kama huyo mume wake anahudumia lakini kipato ni kidogo atafanyaje?Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Tunaendwlea kuoata data hapa.... enheee .. ikawaje tena mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Joyce hana akili yule. Tangu mwanzo Kilewo alimwambia wapange nyumba za kawaida ila J alikataa katakata akalazimisha kukaa kwenye mgolofa ule.
Haya, tupeleke watoto shule za academy ila za kawaida J akakataa ASA ata kama wewe utafanyaje???
So J apambane na hali yake
Huyo itakuwa ulimlipia mahari ili akuwowe....mme wa ndoa ya kanisani
Ni marioo kwasababu majimama ya Limumba hayana wa kuyagegeda baada ya wale buku saba wengi kuwa misosi na wengine ndo kama kina Lemutuz....Acheni makamanda waendelee kuyaondolea stress!
Tujirekebishe kwa lipi kwa mfano.fungukaMie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Sio kidogoYani huyu dada ametutia aibu jamani
Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.
Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.
Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.
View attachment 681349
mdogo wangu omba mke mwema. mke kuwa msomi siyo kigezoAmbao hawajasoma kabisaa ni hatari sasa, waliosoma kidogo kama Kiria ndo hao pasua kichwa, acha nifuate waliosoma nifanye na bidii ya maombi labda Mungu atasikia kilio changu
Binadamu si nguzo kusema anabaki hivyo hivyo mileleKabla hujaoa jitahidi sana kumchunguza mtu unayeenda kufunga nae ndoa.
Siku moja mzee wa upako alisema hawa wanawake wanaojifanya wanaharakati wa kupigania haki za kina mama hawafai kabisa,tena nakumbuka alikuwa katika mahojiano na huyu Joyce!
Hii ni hasara!
Hawa malaya wakishaanza kutumiwa wanajisahau sana....kumbuka faiza mzazi mwenzie na sugu aliwhi kuongea utumbo na mapupu kama haya sugu akaweka risiti malaya kimyaaaIla makamanda mameanza kutia aibu.. hatari sana
Ahsante mkuu...nafikiri hajui alitendalo.Hovyo sana...kulipa kodi ndio anajiona sijui nn..mpk umdhalilishe mwenzio tena wa ndoa.alivyoapa kwa shida na raha ...alidhan maigizo..wkt anapewa good tym mbona hakusema..pumbavu...angejua kwenye uvumiliv kuna mbivu asingejochoresha...mwanamke unatakiwa uwe na stara...mstiri mumeo na shida zake.hajui huyo ni baba wa wanae...na iko kipigo kakipata sababu ya dharau...ukiishi na mwenzio vzr kipigo utakisikia...
Ha ha ha mzee wa safari nyingine tena hadi anachoka halafu anamalizia na bampa to bampa, na kazi juu ya kazi hafu anakwea fastjetWazee wa Lumumba ndio hao wa kina Le Mutuz ambao wana vinukta...
nakusalimia tu mdadammnh kweli wanawake hatupendani
Ngoja aachwe akili imkae sawaSio kidogo
Umeamua kututukana,ila usituchanganye na tena usiamini saana upande mmoja.hasa nyie wanawake ni waongo sana kwani kumsaidia majukumu hata kidogo hairuhusiwi?nimangapi yeye amesaidiwa jamaa hajatia neno hata kwa jirani? Sisi wanaume tunakufaga kijerumani na tai shingoni hata kama ninamatatizo na ndoa yangu wa kwanza kupiga kelele ni mwanamke.Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.