Baada ya kumjua kuwa kumbe Adui Mkubwa wa Simba SC ni Mwekezaji Mo Dewji nawaomba Msamaha 'Mangungu' na 'Try Again'

 
Tulipigwa acrobatic na mangungu siku ya uchaguzi kutuletea mazoki
Modewj ,hawezi toa Hela akina jaribu Tena waendelee na mambo Yao

Labda ,arudi babra
Alitoa hela ya kumnunua Manzoki?
 
Alitoa hela ya kumnunua Manzoki?
Wahuni sio watu wazuri ,special appearance ikawachanganya na wapiga kura badala wampigie wakili wakamweka mangungu Tena tunachokipata ndicho tumestahili
 
Wahuni sio watu wazuri ,special appearance ikawachanganya na wapiga kura badala wampigie wakili wakamweka mangungu Tena tunachokipata ndicho tumestahili
We angalia tu viongozi wa Simba wanavyocheza na akili za mashabiki, na wapo after money, timu mbovu lakini watafanya propaganda wajaze uwanja,mechi zilizobaki wataenda wachache,ikikaribia tar 20 mechi na Yanga utaona wanavyobembeleza kwamba bila nye sisi hatuwezi,utaona hii mechi na Yanga itakavyokuwa platform ya kujisafisha.
 
Sasa mangungu anafaida gani pale simba
 
Acha visingizio kupigwa mtapigwa tu..TULIA MKUU ,UTALIWA TU...MNAMSINGIZIA MUDI ,WAKATI MNAMPIGA KWA TEN PERCENT ZA USAJILI...MNAFIKIRI YEYE ZWAZWA
 
Ila hii ya kusema Mo hamtaki Mangungu hii kwangu kdg ni km siamini vile..katika uchaguzi ule mie nilikua timu Kaluwa , sikuona dalili zq Mo kumtaka Kalua ..ktk vikao vyote vya kampeni
 
Ila hii ya kusema Mo hamtaki Mangungu hii kwangu kdg ni km siamini vile..katika uchaguzi ule mie nilikua timu Kaluwa , sikuona dalili zq Mo kumtaka Kalua ..ktk vikao vyote vya kampeni
Mangungu alishindwa uchaguzi ule, isipokuwa kura mlizohesabiwa pale ni feki zile mlizopiga ziliondolewa.
Mangungu ana genge la wahuni na watoto wa mjini chini ya Backup ya Msoga Gang na sasa wanamtumia kama Remote ndani ya Simba ili baadae apitishwe Ubunge wa kwao Lindi huko
 
Najua alishindwa ule uchaguzi na hata matokeo yalichelewa sana..ila sikua najua kuwa Mo alikua team kalua
 
Leo ndiyo umejidhihirisha kumbe wewe ni empty set. Haya fukuzeni Mo tuone kama Mangungu ana uwezo wa kulipa hata mshahara wa mchezaji mmoja mzawa. Tatizo la Simba kuongozwa na watu wasio wa mpira. Wanachama waliomrudisha Mangungu madarakani kwa kuletewa Manzoki kama campaign manager ndiyo wa kulaumiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…