Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Hhhhhhhaaaaa mimi yale yangu ya moyoni hua sisemiii ng'ooo ntaongea tu yale ya kuchekesha na umbea wa juu juu hata tukisemana hayanipi aibu, mim nishapunguza marafiki hao marafiki mwisho wa siku wanakuchukulia mumeo

Hahahaaaa me huo ushost hadi kwa mpenzi wangu sinaaa....
Ushost unaishia kwenye umbea baaaasss....
 
Hahahaaaa me huo ushost hadi kwa mpenzi wangu sinaaa....
Ushost unaishia kwenye umbea baaaasss....

Hhhhhaaaaaaaa eeee anaekula wa karibu yako na unaemuaminii
Basi Shoga hivi siku hiz imekuaje unachanga harusii halaf hupati kadii na huyo mtu ni mtu wenu wa karibu ,mwisho wa siku anakuambia kadi utaikuta ukumbini hapo ni saa 3 usiku,
Hivi unamuelewaje huyo mtu
 
Hhhhhaaaaaaaa eeee anaekula wa karibu yako na unaemuaminii
Basi Shoga hivi siku hiz imekuaje unachanga harusii halaf hupati kadii na huyo mtu ni mtu wenu wa karibu ,mwisho wa siku anakuambia kadi utaikuta ukumbini hapo ni saa 3 usiku,
Hivi unamuelewaje huyo mtu

Kwa kweli mimi hap ningeshukuru manake angekuwa kanipa sababu ya kulalaa...sipendi kutoka usikuuu...hiyo kwa upande wangu..

Ila kama vipi we nenda tu ukumbini, huwezi jua mambo ya kibinadamu labda alighafilika...akasahau kukupa kadi mapemaa...na hivyo ni mtu wa karibu sio mbayaa...
 
Kwa kweli mimi hap ningeshukuru manake angekuwa kanipa sababu ya kulalaa...sipendi kutoka usikuuu...hiyo kwa upande wangu..

Ila kama vipi we nenda tu ukumbini, huwezi jua mambo ya kibinadamu labda alighafilika...akasahau kukupa kadi mapemaa...na hivyo ni mtu wa karibu sio mbayaa...


Makubwaaaa, hata kama huendi au unaenda kukupa kadi ni lazima ,nishamuweka kapunii mtu akiona wa ziada we muweke pembeni kabisaaa
 
Makubwaaaa, hata kama huendi au unaenda kukupa kadi ni lazima ,nishamuweka kapunii mtu akiona wa ziada we muweke pembeni kabisaaa

Kama ni mtu wa karibu we samehe tuu...labda alikuwa na mambo mengi akasahau...
 
Nawe unamteteaa unaniudhi sasaa mxxxxxiuuuuu badala unipe mipango miji

Hahahaaa ndio namteteaaa...uende hukooo mwenzio huwezi kujua alitingwajee....kuandaa sherehe si mchezoo...
 
Heheheee ..hata ukinuna ndo uende, bahati yako sijui tarehe mbona ndo ingekuwa signature yangu siku hiyo...ningeandika Dinazarde uende kwenye sherehe"

Nilivyo na jini kinyongo kwani niliendaaa,alipiga simu nikamkatiaa akatuma sms nikamjibu kifupi kua siji
Sherehe ishapitaaaaa
 
Last edited by a moderator:
kafanya kusudi mbona mchango hakusahau kukumbusha!

Ndio hapo sasaaa na mchango tulimpa mkubwa tena kwa mkono wangu nilimpa halaf kadi nichukulie ukumbinii, msukuma alinipa pesa nimejisikia vibayaa bora ningeenda nunua hata nguo najifikiria kanionajee sina maana
 
Back
Top Bottom