Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
Hhhhhhhaaaaa mimi yale yangu ya moyoni hua sisemiii ng'ooo ntaongea tu yale ya kuchekesha na umbea wa juu juu hata tukisemana hayanipi aibu, mim nishapunguza marafiki hao marafiki mwisho wa siku wanakuchukulia mumeo
Hahahaaaa me huo ushost hadi kwa mpenzi wangu sinaaa....
Ushost unaishia kwenye umbea baaaasss....