Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Yuko tayari kwa hilo; nikiona masikio yamefanana na mjumbe wa nyumba kumi nakimbia kusikojulikana 😀 😀
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko tayari kwa hilo; nikiona masikio yamefanana na mjumbe wa nyumba kumi nakimbia kusikojulikana 😀 😀
Nina mke tayari na watoto ni wakubwa; hawa wa nje ni katika kuendeleza kizazi, na wao wanajua nina mkeMimi ni wastani 1.72m niliye nae ananifikia juu ya shingo,unapozaa na mtu lengo ni kutengeneza familia nae je upo tayari?
Dunia ina mapori mengi, yanahitaji watu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pisi kali hizi zina mambo mengi. Utalea mimba wee at the end mkikorofishana utasikia ulikua unadhikilia mapembe😂😂Nangojea kwanza azaliwe, kwa sasa muhimu napata huduma muhimu.
Kwahiyo umemua kuharibu maisha ya huyo binti awe single mother?Nina mke tayari na watoto ni wakubwa; hawa wa nje ni katika kuendeleza kizazi, na wao wanajua nina mke
Ni mtu mzima 34Kwahiyo umemua kuharibu maisha ya huyo binti awe single mother?
Muhimu kwa sasa, ubongo unatoka wote 😀 😀Pisi kali hizi zina mambo mengi. Utalea mimba wee at the end mkikorofishana utasikia ulikua unadhikilia mapembe😂😂
Asante sanaNawatakieni kila lililo jema
Uko na akili mingi. Miaka kadhaa ilikuwa nipigwe tukio la kugawiwa mtoto. Demu kanizungusha sana hatimaye kakubali nimuonje. Kabla ya wikendi tuliyopanga aje geto nilipata safari ya kikazi ya miezi miwili. Alisikitika sana. Tuliendelea kuwasiliana lakini hatimaye akafunguka kuwa anaujauzito, akaniomba niwe baba wa huyo mtoto kwa sababu huyo na alishapanga siku hiyo tufanye ili ahalalishe kuwa ni mimba yangu. Niliumia lakini nilifarajika kuwa Bwana amenitetea japo nilitaka kufanya uzinifu.Akizaliwa mtoto pima DNA
Angalizo ni muhimu, hawaaminiki hawa viumbeUko na akili mingi. Miaka kadhaa ilikuwa nipigwe tukio la kugawiwa mtoto. Demu kanizungusha sana hatimaye kakubali nimuonje. Kabla ya wikendi tuliyopanga aje geto nilipata safari ya kikazi ya miezi miwili. Alisikitika sana. Tuliendelea kuwasiliana lakini hatimaye akafunguka kuwa anaujauzito, akaniomba niwe baba wa huyo mtoto kwa sababu huyo na alishapanga siku hiyo tufanye ili ahalalishe kuwa ni mimba yangu. Niliumia lakini nilifarajika kuwa Bwana amenitetea japo nilitaka kufanya uzinifu.
Ki vipi mkuu?Mkuu kama hii ni kweli jiandae kisaikolojia,huyo manzi anaandaa engo ya kukuzabua
Hakiki akijifungua,kama ni mwanao kweli.Yawezekana unaona mapenzi yamezidi,kumbe haamini kama kweli kakubambikizia,hivyo anakuzuga kua mtoto anakutaka kila mara.
Kama nguvu zitaruhusu huko mbeleni, itabidi mimi na wewe tufanye jambo 😀; watoto ni baraka.Rafiki yangu bila shaka utakua na watoto kirundo.
Nami nasubiria matokeo, ingawa amesema yuko tayari tupime dna; changamoto nyingine anataka nimsindikize klinik kwa ajili ya usajili 😀 😀
Huu ushauri nauchukua; mtoto akifanana na wajomba zake, nafanya U turn haraka 😀Yote hayo yawezekana anakuhakikishia,uamini,hujawahi kuona mwanafunzi anampiga biti mwanafunzi mwenzake,hadi wanakubaliana waende hadi kwenye ofisi ya mkuu wa shule,wakifika mlangoni wanageuza... kumbe mmoja wao alikua anampiga biti mwenzake.Kaa vema broo.