Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] sawa rafiki yangu.Kama nguvu zitaruhusu huko mbeleni, itabidi mimi na wewe tufanye jambo 😀; watoto ni baraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] sawa rafiki yangu.Kama nguvu zitaruhusu huko mbeleni, itabidi mimi na wewe tufanye jambo 😀; watoto ni baraka.
😀 😀 😀 anaita baba k (kijacho); kwa sasa naangalia uhakika wa kucheza ndombolo tu 😀; hayo ya mfanano nasubiria baada ya miezi tisa😅😅kuuziwa mbuzi kwenye gunia
Muhimu usiniuzie mbuzi kwenye gunia 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] sawa rafiki yangu.
Naanzaje yaan [emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23]Muhimu usiniuzie mbuzi kwenye gunia 😀
Nyie wadada wa mjini mna mambo mengiNaanzaje yaan [emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23]
Hamna bwana sio wote. Kuna wengine ni watulivu ubahatike tu kumpata asiye na mambo mengi.Nyie wadada wa mjini mna mambo mengi
Ambao hawana mambo mengi ni hawa wa muonekano wa kawaida; ila nyie wengine, mnatufanya tunanena kwa lugha mbalimbaliHamna bwana sio wote. Kuna wengine ni watulivu ubahatike tu kumpata asiye na mambo mengi.
Umri wa kumpa mke ujauzitoUmri wako?
Mkuu kwanini umependekeza mwanao atoke kwa mwanamke anaetumia vilevi?Alikuwa anapenda starehe sana, pombe alikuwa anaagiza za bei ghali ili kunikomoa, nami nikawa mpole tu, kwa sababu ukipenda unajikuta unakuwa zoba.
Mbona na mimi nina muonekano wa kawaida sana [emoji23][emoji23]Unaweza bahatisha hata pisi kali inayojitambua mbona zipo.Ambao hawana mambo mengi ni hawa wa muonekano wa kawaida; ila nyie wengine, mnatufanya tunanena kwa lugha mbalimbali
Ata mimi natumia kilevi; tunywe bia ili kuleta uzalendo kwa ndugu zetu wanaofanya kazi kwenye hizo kampuni, mauzo yakishuka watafukuzwa kazi na kuongeza masikini wengi nchini.Mkuu kwanini umependekeza mwanao atoke kwa mwanamke anatumia vilevi?
Uliponipita pale town, acha tu ninyamaze nisije nikaongeza ushindani 😀Mbona na mimi nina muonekano wa kawaida sana [emoji23][emoji23]Unaweza bahatisha hata pisi kali inayojitambua mbona zipo.
ooh sawa mkuuAta mimi natumia kilevi; tunywe bia ili kuleta uzalendo kwa ndugu zetu wanaofanya kazi kwenye hizo kampuni, mauzo yakishuka watafukuzwa kazi na kuongeza masikini wengi nchini.
[emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125]Uliponipita pale town, acha tu ninyamaze nisije nikaongeza ushindani 😀
Bahati nzuri wote niliozaa nao wanajielewa, wanajua mipaka yao.Umemuomba umtie mimba akakubali,una mke Na watoto,kesha waambia ndugu zake wamesema jambo la kheri Ana umri Wa miaka 34 kisha pisi Kali hujiongez bado mwamba utaharibu ndoa yako kwa uzembe Na tamaa wananjama nyingi hawa viumbe akina Delila keshakujaza Na ushajaaa Na hutokaaa kuchomoa
Usiamini mwanamkeBahati nzuri wote niliozaa nao wanajielewa, wanajua mipaka yao.
Ni kweli usipokuwa nao makini, wanaweza kuleta shida; muhimu ni kwenda nao kwa umakini.Usiamini mwanamke
😂 sio wote tuna shidaWANAUME WAFUPI MNASHIDA SANA