Baada ya kumsikiliza mama wa Feitoto, ni dhahiri Fei na familia nzima wamerubuniwa

Leta clip hiyo ya ugari sukari..we jamaa unaheshimika hapa kwa hoja na thread zako...kumbe heshima ninayokupa hustahili
Fuatilia thread zake zinazohitaji weledi hua anatoa boko sana na akirekebishwa hua hakubali wala kuappreciate kuelekezwa
 
Liverpool timu kubwa ilikataa kumuongeza maslahi Mane na Mane akawakatalia kuongeza mkataba mpya, ila hakuwahi kugoma mazoezini wala kugomea mechi. baada ya kuona mchezaji mkataba wale umebakia miezi michache na hataki kusaini mkataba mpya, Liverpool wakamuuza Bayern.

So swala la kuongezwa au kutoongezwa ni la timu iliyo msajili ndio itakayo amaua,ila ww mchezaji kama ukiona hawataki kukuongeza mzigo na ww husiongeze mkataba subiri mkataba wako uishe uende sehemu nyingine husigomee mazoezi wala mechi na ndivyo proffesional player wa ulaya wanavyofanya.

Kuhusu mchezaji kula hela kubwa mwengine ndogo, kila mchezaji ana wakala wake na term zake.So wakala wa Fei ni tofauti na Morrison na Aziz K na ndio maana wana mikataba tofauti.
 
Hapa mkuu umeliandika kama sio mtu wa soka, kuvunja mkataba ilikua lazima wakae pande mbili au tatu wavunje huo mkataba na sio kujivunjia tuu,
Tusiliweke hili suala kishabiki
 
Mpira WA miguu ni mchezo mchazaji anakuwa active mdani ya muda mfupi kati ya miaka 18-30 hapo. Na umri unavyozidi kwenda unaweza kushangaa unajikuta timu za hovyo.

Wachezaji wote duniani wanapokuwa kwenye form ndio muda WA kuongeza maslahi yako.

Kwako wewe milion 4 ni nyingi Ila Kwa kiwango cha Faisal na nature ya KAZI yake kuwa ya muda mfupi ni hela ndogo hiyo. Pale Yanga kuna wachezaji wanalipwa zaidi ya hiyo hela na wanakaa benchi (Mfano Makambo)
 
Duuh
 
Sheria haimhurumii mtu.
 
[emoji117] Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC

[emoji117] Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
Kama mtu unalipwa mshahara wako,unamtaka mwajiri akupangie ule Nini? Kama Fei aliamua kula ugali na sukari nani angemkataza? Na kwa maslahi ya nani?
 
Hii ya kujaribu kukaa mezani dogo alishawaomba mara mbili Yanga wakawa wanampotezea wanamchukulia poa huku wakiboresha mikataba ya dunduka wengine wa kigeni kuwajaza mihela wakati hawana msaada wowote.
 
Hii ya kujaribu kukaa mezani dogo alishawaomba mara mbili Yanga wakawa wanampotezea wanamchukulia poa huku wakiboresha mikataba ya dunduka wengine wa kigeni kuwajaza mihela wakati hawana msaada wowote.
Mara mbili,,,, lini na lini????
 
Natamani yanga washikilie hapo hapo dogo afundishwe adabu ,Tena upuuz gani huu unaenda kumchukua mam ako video akiongea ujinga asijjue chochote alivyosema mwanae anakula ugali na sukari kwa kulazimisha nilicheka mno[emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Poor reasoning

Mwambie Azizi Ki kuanzia leo awe ana chukua 4M kwasababu kuna timu ya majimaji ilikosa pesa ya nauli
Acha ujinga na upuuzi pia aziz k katoka wapi Hap nnje ya mada kbsa ningekuwa karibu ningekulabua makofi mawili mazito akili zikurudi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
una akili Sana wew dada nimekunoti siku nyingi mno ,wee Ni mtu muungwana Sana [emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji117] Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC

[emoji117] Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
Brother likija swala la ushabiki akili hua zunakuruka hivi mtu anae kula ugali na sukari alipata wapi 112M ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…