GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Hopeless stop wasting my time here ok?Hivi kwanini we jamaa unapenda sana matusi bila sababu za msingi?!
Man, matusi sio ujanja... na wengine hatupendi tu ligi za matusi kwa sababu tunaona ushamba lakini matusi kama matusi, tunayaweza sana tu!!!
Btw, hivi umeelewa nimeandika nini hasa?!
Akili huna, ndo maana sentensi 2 zenye less than 50 characters umeshindwa kuzielewa na kukimbilia matusi... very stupid!!Hopeless stop wasting my time here ok?
Ni kweli pombe ,fegi na papuchii watumiaji baadhi ya hivyo tupo .shida ni kuwa covid 19 yenyewe ni ya kutatanisha inahoja kibao ,mara vita ya kiuchumi mara sijui china imeleta,pili hizo chanjo zake pasua kichwa mara hatari na tunaona kupitia shuhuda nyingi madhara ,mara wanazuoni wanabishana wengine ni hatari wengine ni salama ,mara J&J wazungu hawaitaki inamadhara(u.s.a).ndo hizohizo wamezileta bongo haohao sirikali wanalumbana mara wengine hivi wengine vile.Sigara na pombe tunawaona ndugu zetu Toka wanakua madhara yapo ila ni accidentally,hili jipya Kwa sie wenye low IQ linatuyumbisha sio la kwenda nalo haraka watupe elimu ya kutosha .Ufukara unatusumbua Tena tuanze kuhangaika na effects za hayo machanjo si ndo kifo chenyew mkuu.In short unapew Bure ila sidhani Kama utatibiwa Bure ukipata changamoto.Unakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.
Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.
Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza adhari za mionzi.
Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.
Unavuta polluted air kila siku
Condom hujui hata bei yake.
Na hapo hapo mkono wake una kovu la chanjo ya ndui, na mtoto wake kenda kumdunga chanjo ya ndui lakini yote hayo hajawahi kuhoji lakini anakuja kuhoji chanjo ya corona!Unakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.
Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.
Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza adhari za mionzi.
Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.
Unavuta polluted air kila siku
Condom hujui hata bei yake.
The problem, mengi ya hayo uliyotaja kama sio yote yanaenezwa na hao hao watu aina ya Askofu Rashid!!Ni kweli pombe ,fegi na papuchii watumiaji baadhi ya hivyo tupo .shida ni kuwa covid 19 yenyewe ni ya kutatanisha inahoja kibao ,mara vita ya kiuchumi mara sijui china imeleta,pili hizo chanjo zake pasua kichwa mara hatari na tunaona kupitia shuhuda nyingi madhara ,mara wanazuoni wanabishana wengine ni hatari wengine ni salama ,mara J&J wazungu hawaitaki inamadhara(u.s.a).ndo hizohizo wamezileta bongo haohao sirikali wanalumbana mara wengine hivi wengine vile.Sigara na pombe tunawaona ndugu zetu Toka wanakua madhara yapo ila ni accidentally,hili jipya Kwa sie wenye low IQ linatuyumbisha sio la kwenda nalo haraka watupe elimu ya kutosha .Ufukara unatusumbua Tena tuanze kuhangaika na effects za hayo machanjo si ndo kifo chenyew mkuu.In short unapew Bure ila sidhani Kama utatibiwa Bure ukipata changamoto.
Kwa ilo nachagua pombe,sigara na uzinzi .
Tuna watu wa ajabu sana,mtu anakwambia hio ndio Chapa ya 666,kwahio ukiikwepa unasubiri kunyakuliwa na Yesu,mtu anasema hayo yupo baa analewa baadae anatafuta Malaya halafu anasema anasubiri kunyakuliwa.Unakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.
Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.
Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza adhari za mionzi.
Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.
Unavuta polluted air kila siku
Condom hujui hata bei yake.
Tusichoshane! Kama unatakakuchanja kachanje! Wengine hatudanganyiki!Unakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.
Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.
Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza adhari za mionzi.
Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.
Unavuta polluted air kila siku
Condom hujui hata bei yake.
Upo sawa mkuu, Mambo ya chanjo wapewe watu wenye UWEZO kuzungumza fact, Sasa utashangaa wengine wanazungumza tu KWa kudemka, mfano Gwajima, hamna kitu pale,labda nakubali Kwamba biblia Gwajima atatoa watu wengi nishai , nikiwemo na mimi,ila asijitwishe mzigo wa fani za watu, na wafuasi wake wanashabikia tu, kumbe wanaingizwa chakaKuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Hard talkNi kweli pombe ,fegi na papuchii watumiaji baadhi ya hivyo tupo .shida ni kuwa covid 19 yenyewe ni ya kutatanisha inahoja kibao ,mara vita ya kiuchumi mara sijui china imeleta,pili hizo chanjo zake pasua kichwa mara hatari na tunaona kupitia shuhuda nyingi madhara ,mara wanazuoni wanabishana wengine ni hatari wengine ni salama ,mara J&J wazungu hawaitaki inamadhara(u.s.a).ndo hizohizo wamezileta bongo haohao sirikali wanalumbana mara wengine hivi wengine vile.Sigara na pombe tunawaona ndugu zetu Toka wanakua madhara yapo ila ni accidentally,hili jipya Kwa sie wenye low IQ linatuyumbisha sio la kwenda nalo haraka watupe elimu ya kutosha .Ufukara unatusumbua Tena tuanze kuhangaika na effects za hayo machanjo si ndo kifo chenyew mkuu.In short unapew Bure ila sidhani Kama utatibiwa Bure ukipata changamoto.
Kwa ilo nachagua pombe,sigara na uzinzi .
Uko sahihi fatilia kwanza kwa makini swala la afya yako ni muhimu sana kwako...Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Hii naona siyo issue ya kutofautiana kimitazamo tu, bali ni chuki binafsi ambayo imeamshwa na tofauti ya mitazamo 😓😥Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Kituo gani hichoKuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]The problem, mengi ya hayo uliyotaja kama sio yote yanaenezwa na hao hao watu aina ya Askofu Rashid!!
Tatizo kubwa la Tanzania ni moja....
Kwa bahati mbaya sana aliyekuwa Rais wa nchi alikuwa anatia kasoro kila kinachoongelewa na watalaamu kuhusu corona!!
Kutokana na hilo, viongozi walio chini yake karibu wote wakawa wanalazimika kuimba tune ya Mwenye Bendi,
Wafuasi wake ambao ni wengi kabisa wakalazimika kuimba tone ya mwenye band!!!
Tatizo la sasa sio tena kwa viongozi kwa sababu viongozi wamepata mkuu mpya na hivyo wanalazimika kuimba tone ya mkuu mpya!!!
Wale wafuasi KATU hawawezi kukubali kirahisi kubadili tone ya yule waliyekuwa wanamuunga mkono kwa jasho na damu kwa sababu, kufanya hivyo itakuwa ni kama wanamkosoa kwamba hakuwa sahihi!!
Hawa, sio kwenye chanjo tu, ni kama wameapa kulinda na kutukuza misimamo yote ya Mwendazake!!!
Hata hapa ukifuatilia, asilimia kubwa ya wapinzani wa haya hii ni Wafuasi Kindakindaki wa Mwendazake!!!
Hata huyo Gwajima, I doubt kama angekuwa na msimamo huu lau kama Mwendazake angekuwa na mtazamo tofauti!!
Unafikiri unapeleka tako tu wanakupa chanjo? Tafuta hela mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.