Baada ya kumsikiliza Rais Magufuli, nasema wazi asante sana Jakaya Kikwete

Baada ya kumsikiliza Rais Magufuli, nasema wazi asante sana Jakaya Kikwete

Uchumi ni biashara sio siasa.
Suala la uchumi bado tunadanganyana.

Kikwete alikua kidogo anawapa watanzania uwezo wa kusafisha macho katika biashara za kimataifa. Hata Kenya walianza kuihofia Tanzania.
Watalii waliongezeka sana wakati wa JK. Kenya Uganda na Rwanda walifikia mahali wakawa wanatamani kuungana ili washindane na Tanzania katika biashara na uwekezaji.
Kuna mambo hua hatuyaangalii kwa undani lakini hata suala la makusanyo ya ndani wakati wa JK yalikua ni makubwa sana.
Leo hii mpaka vihela vya halmashauri na mashirika mbalimbali vyote vinaelekea Hazina lakini bado mambo ni magumu. Kodi zimekua kubwa sana lakini bado hatujafika hata 1.5 Tril. Pamoja na kuumiza wananchi kwa makodi na mafaini na hata kufilisi biashara za watu lakini bado. Hii ni dalili kuwa biashara hazijaongezeka wala kukua zaidi ya kutumia uchukuaji wa kodi kama kupora wanyonge vihela vyao kwa kisingizio cha wapiga dili. Hakuna wawekezaji wakubwa.
Mungu ametupa gesi ,jua, makaa ya mawe, ureniamu na upepo lakini bado Tunaharibu mazingira yetu ya asili kwa kukimbilia miradi ya Umeme wa maji MW 2000 tu bila kujali kuwa hizo zingepatikana kirahisi kabisa kupitia makaa ya mawe na upepo na Joto la ardhini jambo ambalo linalinda mazingira.

Kwa sasa watawala watashangilia sana mana wao sasa hivi ndio matajiri wenye uhakika wa kuvuna bila kupanda.

Zito Kabwe Endelea kuwafungua macho watanzania bila kujali vyama vyao.
 
Mimi ntampa kura tu, yani nasema hivi yangu nitampa kiroho safi kabisa
 
Mimi ntampa kura tu, yani nasema hivi yangu nitampa kiroho safi kabisa
Kura yangu ilishaharibika hat kabla ya wagombea kuchukua fomu. Nimechomwa na jua vya kutosha for nothing. Wacha liende, litafika tu!
 
Kura yangu ilishaharibika hat kabla ya wagombea kuchukua fomu. Nimechomwa na jua vya kutosha for nothing. Wacha liende, litafika tu!
Nasema hivi, yangu ntampa Magufuli kwa vipindi vyote atakavyo gombea.
 
Hivi hiyo katiba ndo dubwasha gani? Hivi sheria zikiwepo na hakuna anayezifuata zitakuwa na maana?
Kwa nchi hii ilipofikia hatuhitaji katiba mpya tunahitaji viongozi wenye fikra chanya na utekelezaji wa mikakati kwa maendeleo endelevu ya Tanzania
Elewa jambo moja mkuu! Hakuna mtu anae kataa maendeleo, lakini uwepo mwogozo wakuyasimamia hayo maendeleo yenyewe. Pengine huyu raisi wa sasa ni mzalendo kwa nchi yake. shida ikitokea tumepata raisi mwingine baada ya huyu na akawa siyo mzalendo itakuwaje? Yale yote mazuri yata yeyuka kama barafu.
Nasema bila katiba ya kueleweka bado tutakuwa tunapiga mawe chokaa mvua ikinyesha mawe yanarudi kwenye uchakavu.
 
Ebo!!! kiongozi utampata kwa utaratibu gani kama huna katiba? au hujui kuwa katiba ni mwongozo wa kila kitu katika nchi? katiba mbovu huleta viongozi wanaofanana nayo.
Hivi hiyo katiba ndo dubwasha gani? Hivi sheria zikiwepo na hakuna anayezifuata zitakuwa na maana?
Kwa nchi hii ilipofikia hatuhitaji katiba mpya tunahitaji viongozi wenye fikra chanya na utekelezaji wa mikakati kwa maendeleo endelevu ya Tanzania
 
Uchumi ni biashara sio siasa.
Suala la uchumi bado tunadanganyana.

Kikwete alikua kidogo anawapa watanzania uwezo wa kusafisha macho katika biashara za kimataifa. Hata Kenya walianza kuihofia Tanzania.
Watalii waliongezeka sana wakati wa JK. Kenya Uganda na Rwanda walifikia mahali wakawa wanatamani kuungana ili washindane na Tanzania katika biashara na uwekezaji.
Kuna mambo hua hatuyaangalii kwa undani lakini hata suala la makusanyo ya ndani wakati wa JK yalikua ni makubwa sana.
Leo hii mpaka vihela vya halmashauri na mashirika mbalimbali vyote vinaelekea Hazina lakini bado mambo ni magumu. Kodi zimekua kubwa sana lakini bado hatujafika hata 1.5 Tril. Pamoja na kuumiza wananchi kwa makodi na mafaini na hata kufilisi biashara za watu lakini bado. Hii ni dalili kuwa biashara hazijaongezeka wala kukua zaidi ya kutumia uchukuaji wa kodi kama kupora wanyonge vihela vyao kwa kisingizio cha wapiga dili. Hakuna wawekezaji wakubwa.
Mungu ametupa gesi ,jua, makaa ya mawe, ureniamu na upepo lakini bado Tunaharibu mazingira yetu ya asili kwa kukimbilia miradi ya Umeme wa maji MW 2000 tu bila kujali kuwa hizo zingepatikana kirahisi kabisa kupitia makaa ya mawe na upepo na Joto la ardhini jambo ambalo linalinda mazingira.

Kwa sasa watawala watashangilia sana mana wao sasa hivi ndio matajiri wenye uhakika wa kuvuna bila kupanda.

Zito Kabwe Endelea kuwafungua macho watanzania bila kujali vyama vyao.
Hujaisikiliza hotuba ya rais kwenye kongamano ,ndiyo maana unasema haya
 
NA KAKTIKA KIPINDI CHAKE CHA MIAKA KUMI YA URAIS HAKUWAHI KUPIGA PESA INAYOFIKIA 1.5 TRILIONI KAMA ILIYOPIGWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI YA JIWE
Njoo na ushahidi .

Tuletee hiyo page inayoonyesha wizi wa 1.5T
 
Amani iwe nanyi wadau


Pamoja na kwamba Jakaya Kikwete amekuwa kiongozi kwa muda mrefu hadi kuwa rais wa Tanzania kwa miaka kumi ,nakiri wazi sikuwahi kuujua uzalendo wake kwa nchi ya Tanzania hadi leo November 2018 ndiyo nimegundua!

Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Jakaya Kikwete ni mzalendo wa kweli wa nchi kuliko tunavyonfikiria.
Jakaya Kikwete ndiyo alikuwa na uamuzi wa mwisho nani awe rais ajae wa Tanzania lakini akatuletea Magufuli.
Jakaya Kikwete alikuwa anamjua Magufuli kuliko mtu mwingine yoyote , alikuwa anajua kabisa Magufuli hapendi rushwa na ufisadi ,alikuwa anajua kabisa Magufuli ana msimamo mkali usioyumba hata kwa dakika moja ,alikuwa anajua kabisa Magufuli kwake ni Tanzania kwanza na haoni shida kugombana na yeyote anayekanyaga masilahi ya Tanzania!

Swali kwa nini Kikwete pamoja na kuyajua yote haya bado akamteua Magufuli ?
Jibu ni rahisi tu ,Kikwete ni mzalendo wa kweli ndiyo maana alitaka amwachie nchi mzalendo wa kweli mwingine( Simba huzaa Simba). Kama Kikwete angekuwa ni fisadi kamwe nasema kamwe asingeruhusu Magufuli awe rais wa Tanzania na uwezo huo alikuwa nao.

Hotuba ya rais Magufuli leo kwenye kongamano pale udsm imeweka kila kitu wazi na kuacha bila shaka yoyote kwamba Magufuli anaijua Tanzania na ni mzalendo wa kweli kweli kwa nchi yake. Amezungumza kwa facts na data nchi ilipotoka ,ilipo na inaelekea wapi !
Magufuli ameonyesha wazi mchana kweupe kuwa ana uelewa mkubwa sana na inahitaji akili kubwa kumwelewa .Akili ndogo (chadema) kwa sasa hawatamwelewa Magufuli watakuja kuelewa baada ya miaka 20 ijayo.

Asante mzalendo Jakaya Kikwete kwa kuzaa mzalendo John Magufuli kwa manufaa ya nchi yetu .

Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu.
Umeolewa?
Unawezaje kufananisha Magufuli (mwanadamu) na Chadema (chama); Wewe si bure, iko namna.
 
Ukimsiliza unaweza sema this is, lakini ukitazama anachofanya unaona vice versa nini tatizo?
 
Amani iwe nanyi wadau


Pamoja na kwamba Jakaya Kikwete amekuwa kiongozi kwa muda mrefu hadi kuwa rais wa Tanzania kwa miaka kumi ,nakiri wazi sikuwahi kuujua uzalendo wake kwa nchi ya Tanzania hadi leo November 2018 ndiyo nimegundua!

Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Jakaya Kikwete ni mzalendo wa kweli wa nchi kuliko tunavyonfikiria.
Jakaya Kikwete ndiyo alikuwa na uamuzi wa mwisho nani awe rais ajae wa Tanzania lakini akatuletea Magufuli.
Jakaya Kikwete alikuwa anamjua Magufuli kuliko mtu mwingine yoyote , alikuwa anajua kabisa Magufuli hapendi rushwa na ufisadi ,alikuwa anajua kabisa Magufuli ana msimamo mkali usioyumba hata kwa dakika moja ,alikuwa anajua kabisa Magufuli kwake ni Tanzania kwanza na haoni shida kugombana na yeyote anayekanyaga masilahi ya Tanzania!

Swali kwa nini Kikwete pamoja na kuyajua yote haya bado akamteua Magufuli ?
Jibu ni rahisi tu ,Kikwete ni mzalendo wa kweli ndiyo maana alitaka amwachie nchi mzalendo wa kweli mwingine( Simba huzaa Simba). Kama Kikwete angekuwa ni fisadi kamwe nasema kamwe asingeruhusu Magufuli awe rais wa Tanzania na uwezo huo alikuwa nao.

Hotuba ya rais Magufuli leo kwenye kongamano pale udsm imeweka kila kitu wazi na kuacha bila shaka yoyote kwamba Magufuli anaijua Tanzania na ni mzalendo wa kweli kweli kwa nchi yake. Amezungumza kwa facts na data nchi ilipotoka ,ilipo na inaelekea wapi !
Magufuli ameonyesha wazi mchana kweupe kuwa ana uelewa mkubwa sana na inahitaji akili kubwa kumwelewa .Akili ndogo (chadema) kwa sasa hawatamwelewa Magufuli watakuja kuelewa baada ya miaka 20 ijayo.

Asante mzalendo Jakaya Kikwete kwa kuzaa mzalendo John Magufuli kwa manufaa ya nchi yetu .

Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu.
Magufuli jembe
 
Amani iwe nanyi wadau


Pamoja na kwamba Jakaya Kikwete amekuwa kiongozi kwa muda mrefu hadi kuwa rais wa Tanzania kwa miaka kumi ,nakiri wazi sikuwahi kuujua uzalendo wake kwa nchi ya Tanzania hadi leo November 2018 ndiyo nimegundua!

Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Jakaya Kikwete ni mzalendo wa kweli wa nchi kuliko tunavyonfikiria.
Jakaya Kikwete ndiyo alikuwa na uamuzi wa mwisho nani awe rais ajae wa Tanzania lakini akatuletea Magufuli.
Jakaya Kikwete alikuwa anamjua Magufuli kuliko mtu mwingine yoyote , alikuwa anajua kabisa Magufuli hapendi rushwa na ufisadi ,alikuwa anajua kabisa Magufuli ana msimamo mkali usioyumba hata kwa dakika moja ,alikuwa anajua kabisa Magufuli kwake ni Tanzania kwanza na haoni shida kugombana na yeyote anayekanyaga masilahi ya Tanzania!

Swali kwa nini Kikwete pamoja na kuyajua yote haya bado akamteua Magufuli ?
Jibu ni rahisi tu ,Kikwete ni mzalendo wa kweli ndiyo maana alitaka amwachie nchi mzalendo wa kweli mwingine( Simba huzaa Simba). Kama Kikwete angekuwa ni fisadi kamwe nasema kamwe asingeruhusu Magufuli awe rais wa Tanzania na uwezo huo alikuwa nao.

Hotuba ya rais Magufuli leo kwenye kongamano pale udsm imeweka kila kitu wazi na kuacha bila shaka yoyote kwamba Magufuli anaijua Tanzania na ni mzalendo wa kweli kweli kwa nchi yake. Amezungumza kwa facts na data nchi ilipotoka ,ilipo na inaelekea wapi !
Magufuli ameonyesha wazi mchana kweupe kuwa ana uelewa mkubwa sana na inahitaji akili kubwa kumwelewa .Akili ndogo (chadema) kwa sasa hawatamwelewa Magufuli watakuja kuelewa baada ya miaka 20 ijayo.

Asante mzalendo Jakaya Kikwete kwa kuzaa mzalendo John Magufuli kwa manufaa ya nchi yetu .

Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu.
NYUMBA ZA SERIKALI, BIL 2 ZILIZOPOTEA KWENYE WIZARA YA UJENZI ILIYOKUWA CHINI YAKE, HAKIKA WEWE UNATOKA SOUTH SUDAN
 
Amani iwe nanyi wadau


Pamoja na kwamba Jakaya Kikwete amekuwa kiongozi kwa muda mrefu hadi kuwa rais wa Tanzania kwa miaka kumi ,nakiri wazi sikuwahi kuujua uzalendo wake kwa nchi ya Tanzania hadi leo November 2018 ndiyo nimegundua!

Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Jakaya Kikwete ni mzalendo wa kweli wa nchi kuliko tunavyonfikiria.
Jakaya Kikwete ndiyo alikuwa na uamuzi wa mwisho nani awe rais ajae wa Tanzania lakini akatuletea Magufuli.
Jakaya Kikwete alikuwa anamjua Magufuli kuliko mtu mwingine yoyote , alikuwa anajua kabisa Magufuli hapendi rushwa na ufisadi ,alikuwa anajua kabisa Magufuli ana msimamo mkali usioyumba hata kwa dakika moja ,alikuwa anajua kabisa Magufuli kwake ni Tanzania kwanza na haoni shida kugombana na yeyote anayekanyaga masilahi ya Tanzania!

Swali kwa nini Kikwete pamoja na kuyajua yote haya bado akamteua Magufuli ?
Jibu ni rahisi tu ,Kikwete ni mzalendo wa kweli ndiyo maana alitaka amwachie nchi mzalendo wa kweli mwingine( Simba huzaa Simba). Kama Kikwete angekuwa ni fisadi kamwe nasema kamwe asingeruhusu Magufuli awe rais wa Tanzania na uwezo huo alikuwa nao.

Hotuba ya rais Magufuli leo kwenye kongamano pale udsm imeweka kila kitu wazi na kuacha bila shaka yoyote kwamba Magufuli anaijua Tanzania na ni mzalendo wa kweli kweli kwa nchi yake. Amezungumza kwa facts na data nchi ilipotoka ,ilipo na inaelekea wapi !
Magufuli ameonyesha wazi mchana kweupe kuwa ana uelewa mkubwa sana na inahitaji akili kubwa kumwelewa .Akili ndogo (chadema) kwa sasa hawatamwelewa Magufuli watakuja kuelewa baada ya miaka 20 ijayo.

Asante mzalendo Jakaya Kikwete kwa kuzaa mzalendo John Magufuli kwa manufaa ya nchi yetu .

Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu.
Wapi TRIONI 1:3???
 
NYUMBA ZA SERIKALI, BIL 2 ZILIZOPOTEA KWENYE WIZARA YA UJENZI ILIYOKUWA CHINI YAKE, HAKIKA WEWE UNATOKA SOUTH SUDAN
Muulize Sumaye alikuwa waziri mkuu
 
Back
Top Bottom