Baada ya kumsikiliza Rais Magufuli, nasema wazi asante sana Jakaya Kikwete

Ningekuwa na LIKE zote

ningekupa Chief

Ila kuna wachafuzi wa mazingira,lazima wakuzogome kwelikweli

Vuta pumzi Bro

Povu litaendelea kuja zaidi na zaidi
 
Kabla ya kumuita jakaya kikwete mzalendo..jiulize ni Mali kiasi gani kajimilikisha ukianzia na mgodi wa dhahabu uliopo wilaya ya chunya mkoani mbeya.
Fisadi wa akili na mawazo

ukiulizwa ushahidi wa kweli

mnakimbia.....
 
Kamuua nani?!!!

Acha maneno ya ndotoni

Kama Demokrasia ni hiyo unayoisema ww na kuitamka,
Basi Bora ife kbs
Maana haina akili wala adabu kwa Wakubwa zake
 
Hujaisikiliza hotuba ya rais kwenye kongamano ,ndiyo maana unasema haya
Hotuba ni zile zile .
Uchumi sio hatuba uchumi ni kujenga Fursa na kuwawezesha wananchi kimitaji.

Ukiona serikali inawaonea wivu wananchi wake wanapomiliki biashara kubwa ujue haina uelekeo mzuri zaidi ya serikali ya Mateso.
Hata shetani ana Ufalme laki ni wa Giza.
 
Siku rais magufuli atakubali kutuletea katiba mpya hakuna mwanachi atakaye mpinga kwa hoja yoyote.
Anasema "vipi tuendeleen na rasimu ya Warioba au turudi tena kwa wananchi" hapa anamaanisha kua anajua kabisa haja ya wananchi ya kuipata katiba mpya.

Nakubaliana naye kua kama mlimchagua kwa ilani ile ya 2015-20, ambayo ndani yake haina Katiba mpya basi hana deni kwa mwananchi yeyote kwani hilo lipo nje ya ajenda ya Chama Cha Mapinduzi kwa sasa. Ila sote tumsubiri awamu nyingine hapo atahitajika kuijumuisha katiba Mpya ili hata aondokapo yale yote aliyoyasisi yabaki kisheria na yalindwe kikatiba.
 
Magufuli Jembe jembe
Rais wetu Jembe jembe
Amahakika tutakuja kumuelewa magu vizuri Kuwa ndio Chaguo letu Watanzania kwa wakati huu
Huyu anatufaa
nacho Kishukuru jamaa hatetereki
Yupo imala hatishwi
MUNGU ENDELEA KUMPA NGUVU NA UJASIRI
Chaguo la lubuva na tume, tuombe radhi.
 
Haizidi 1.5 ya mwaka huu pekee.Mzalendo wa kweli,alikuwa ni ticha tu kwa maneno na vitendo japo alifail kwenye uchumi.
Kabla ya kumuita jakaya kikwete mzalendo..jiulize ni Mali kiasi gani kajimilikisha ukianzia na mgodi wa dhahabu uliopo wilaya ya chunya mkoani mbeya.
 
Bakhresa ameonewa wivu ?

Acha kujipa matumaini hewa
 
True kijani walijali kuokoa chama kwanza hata kama uchumi utaangamia.Maana White air bila figisu,bao la mkono,IT za kina marope chama chakavu chali saa NNE Asubui. Hivo inabidi kilindwe kwa mtutu,kwa gharama ya kuminya demokrasia.
 
Mwisho wa yote pasipo tija bado ni deni
 
Muumini bila maandiko ataangamia ni bure kabisa
Hivi hiyo katiba ndo dubwasha gani? Hivi sheria zikiwepo na hakuna anayezifuata zitakuwa na maana?
Kwa nchi hii ilipofikia hatuhitaji katiba mpya tunahitaji viongozi wenye fikra chanya na utekelezaji wa mikakati kwa maendeleo endelevu ya Tanzania
 
Alichofaulu ni kupunguza wafanyakazi sio kuajiri
 
True kijani walijali kuokoa chama kwanza hata kama uchumi utaangamia.Maana White air bila figisu,bao la mkono,IT za kina marope chama chakavu chali saa NNE Asubui. Hivo inabidi kilindwe kwa mtutu,kwa gharama ya kuminya demokrasia.
Nimesema walimchagua apeperushe bendera ya CCM kwa kuwa ndiye tu aliyekuwa anakubalika.Please note that.Nafurahi kusema kwamba he has met the expectations of many Tanzanians.
Hongera zake sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…