Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Kama amejirekebisha msamehe. Ila punguza kulia lia

Ukiwa unalia lia ovyo anakuona dhaifu
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Mnasaga hadi meno?Yakipukutika yote mtaongeaje na kuelewana?Anyway,hebu nyamazeni kwanza,mpige mafunda mawilimawili ya maji halafu myajenge upya.
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Katika dunia hii usiwaaamini watu wawili kiurahisi rahisi
1. Mwanamke ambaye analia
2. Mwanaume ambaye anatabasamu
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Msaidie kulia
 
Hivi watu mnapata wapi ujasiri wa kuyaanika ya ndani humu mitandaoni?

Alafu unakuta Kuna watu wanakushauri cha kufanya kuhusu juu ya huyo mwanamke.
 
Back
Top Bottom