Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

We nae...

ID fake, acha watu watoe mastress yao hapa, unataka wafe na msongo wa mawazo wakati wakuwashauri wapo.
Nyuma ya I'd fake Kuna mtu halisi.

Hapo hakuna cha kumshauri,nyuzi za mapenzi ndiyo zinaongoza kwa uongo(chai). Mtu anakaza kabisa anawadanganya watu humu eti mke wake analia Huku 'anasaga meno' na yeye njemba akaunga kilio nae anasaga meno.

Hii si chai ya waziwazi kabisa? Au kisa I'd fake ndiyo tunazifanyia "content creating?"
 
Nyuma ya I'd fake Kuna mtu halisi.

Hapo hakuna cha kumshauri,nyuzi za mapenzi ndiyo zinaongoza kwa uongo(chai). Mtu anakaza kabisa anawadanganya watu humu eti mke wake analia Huku 'anasaga meno' na yeye njemba akaunga kilio nae anasaga meno.

Hii si chai ya waziwazi kabisa? Au kisa I'd fake ndiyo tunazifanyia "content creating?"
Unauhakika gani kama ni chai...?

Penye uongo na ukweli upo.
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Kuna Sheria Mbili katika maamuzi ya Ndoa yako yalipofikia Sio sio Muhimu Sana ni Lazma kufanya mazingatio..
  • Usimsamehe kwa Sababu umemhurumia..
    • Msamehe kwa sababu umeona Amekiri kosa na katubia na una hakika Hawezi kurudia na kosa lenyewe Liwe Kubwa kiasi cha kutaka kumpa hiyo talaka (Lisiwe kosa la uonevu au Mabavu ya kiume tu)
  • KAMWE USIMWACHE MWANAMKE UNAYEMPENDA NA KUMJALI
    • maana ni sawa na kujitesa mwenyewe..
NAkutakia Ndoa njema na Kusamehe Kunaruhusiwa Ila sio kwa kesi ya Uasherati na Uzinifu
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Mwanaume anaelialia ovyo nikilia mhhh huyo hapana ban.
Mie nataka nikilia nibebwe juu juu nikachapwe Zaid nilie Zaid.

Mrudie mkeo anzeni upya
 
Kuna Sheria Mbili katika maamuzi ya Ndoa yako yalipofikia Sio sio Muhimu Sana ni Lazma kufanya mazingatio..
  • Usimsamehe kwa Sababu umemhurumia..
    • Msamehe kwa sababu umeona Amekiri kosa na katubia na una hakika Hawezi kurudia na kosa lenyewe Liwe Kubwa kiasi cha kutaka kumpa hiyo talaka (Lisiwe kosa la uonevu au Mabavu ya kiume tu)
  • KAMWE USIMWACHE MWANAMKE UNAYEMPENDA NA KUMJALI
    • maana ni sawa na kujitesa mwenyewe..
NAkutakia Ndoa njema na Kusamehe Kunaruhusiwa Ila sio kwa kesi ya Uasherati na Uzinifu
Umeweka neno limeshiba sana, karibu tupige Skanka mkuu,
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
MDA WA JIONI KUNA WALIOSHIBA FUTARI AU WALIOPO BAA WANAANZA KULETA TABIA ZA UVCCM
 
Back
Top Bottom