Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Mwanamke unaanzaje kumpiga mumeo?
Hata kama umemkinai,kumchamba baba wa watoto wako?
Hata kama umemkinai,kumchamba baba wa watoto wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuma ya I'd fake Kuna mtu halisi.We nae...
ID fake, acha watu watoe mastress yao hapa, unataka wafe na msongo wa mawazo wakati wakuwashauri wapo.
Unauhakika gani kama ni chai...?Nyuma ya I'd fake Kuna mtu halisi.
Hapo hakuna cha kumshauri,nyuzi za mapenzi ndiyo zinaongoza kwa uongo(chai). Mtu anakaza kabisa anawadanganya watu humu eti mke wake analia Huku 'anasaga meno' na yeye njemba akaunga kilio nae anasaga meno.
Hii si chai ya waziwazi kabisa? Au kisa I'd fake ndiyo tunazifanyia "content creating?"
Mkewe analia na kusaga meno,na jamaa nae analia na kusaga meno. Wamekuwa mashine ya kusaga mahindi au?Unauhakika gani kama ni chai...?
Penye uongo na ukweli upo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkewe analia na kusaga meno,na jamaa nae analia na kusaga meno. Wamekuwa mashine ya mahindi au?
Hiyo siyo chai?
moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa
Kuna Sheria Mbili katika maamuzi ya Ndoa yako yalipofikia Sio sio Muhimu Sana ni Lazma kufanya mazingatio..Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Mwanaume anaelialia ovyo nikilia mhhh huyo hapana ban.Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Nipe Namba yake nimbembelezeWakuu nifanyeje?
Umeweka neno limeshiba sana, karibu tupige Skanka mkuu,Kuna Sheria Mbili katika maamuzi ya Ndoa yako yalipofikia Sio sio Muhimu Sana ni Lazma kufanya mazingatio..
NAkutakia Ndoa njema na Kusamehe Kunaruhusiwa Ila sio kwa kesi ya Uasherati na Uzinifu
- Usimsamehe kwa Sababu umemhurumia..
- Msamehe kwa sababu umeona Amekiri kosa na katubia na una hakika Hawezi kurudia na kosa lenyewe Liwe Kubwa kiasi cha kutaka kumpa hiyo talaka (Lisiwe kosa la uonevu au Mabavu ya kiume tu)
- KAMWE USIMWACHE MWANAMKE UNAYEMPENDA NA KUMJALI
- maana ni sawa na kujitesa mwenyewe..
Wananini hao na wanyaturu?Mnyantuzu.....😂
Kwisa habari yako!
Nimekumbuka mbali huu wimbo...Njoo kwangu unachotaka nitakupa
Angwisa
Hawana shida ila wanaamini kwenye sana mambo ya kishirikinaWananini hao na wanyaturu?
Sawa ntakuja badae acha tu mlango wazi.Njoo kwangu unachotaka nitakupa
Angwisa
MDA WA JIONI KUNA WALIOSHIBA FUTARI AU WALIOPO BAA WANAANZA KULETA TABIA ZA UVCCMWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?