Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Amen amenmtu wa maana kabisa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen amenmtu wa maana kabisa wewe
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Fala wewe,Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
HahahaVinalilia kuingia vilipotoka
Skanka ni nani mkuu?Sio Sawa kabisa ndio maana Mimi nimeoa Skanka sisikii vichambo kabisa wala kupigwa sijawahi,
Jamaa anableed huyu, hii chai....Unauhakika gani kama ni chai...?
Penye uongo na ukweli upo.
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Wamekutana wote wanatest motoduu alitest moto kaupata inawezekana alikuwa na jamaa wa kuburi lakini saivi hana ndio maana karudi uwe makini "maji ya mto hayarudi nyuma"
Songa mbele mjuba,Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Weee yanarun dunia love!
Anapigwa na kuchambwa...Weee yanarun dunia love!