Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kesi mkuuWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
2. Mwanaume ambaye anatabasamu
Una umri gani wewe? Mna watoto? Na mara ya mwisho kumtia ni lini?Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
If idumu😅😅Nifanyeje ili niweze kujua siku zangu?
Kwema, Hi babies samahanini sana naombeni msaada ili niweze kujua siku zangu aisee maana hazieleweki aisee Wakuu naombeni msaada jinsi ya kujua siku zangu zangu aisee kwa maana sikudhani za period au bleed nimesahau wakuu huu mwezu nimepita bila kuona damu zangu.www.jamiiforums.com
Mwanaume mwenyewe hadi na period unapata, aaah upigwe tu kudadeki zako......
Basi utakuta watu wapo serious kutoa ushauri, kumbe mwanaume mwenyewe anatafuta siku zake hazikumbukiIf idumu😅😅
Nimecheka sana asee, watu wanatoa nondo za maana kumbe muhusika anatafuta mpBasi utakuta watu wapo serious kutoa ushauri, kumbe mwanaume mwenyewe anatafuta siku zake hazikumbuki
Tena anaandika hi babies, yani wanaume na wanawake jf ni mabebsNimecheka sana asee, watu wanatoa nondo za maana kumbe muhusika anatafuta mp
😅😅😅 wanaume waitikie hii baibTena anaandika hi babies, yani wanaume na wanawake jf ni mabebs
Km umeshamwacha unamwitaje tena mke? Ujue siye si wehu km weweWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Nakazia mwanamke anae Lia usithubutu hata kumsikiliza kimbia MITA 5000Wanawake wana silaha nne kuu za kuwacontrol wanaume mabwege
1. Sex
2. Machozi/kujiliza
3. Maneno matamu
4. Drama
Kama una sababu ya msingi ya kumpiga chini fanya hivyo usisite. Mwanamke huwa hasamehewi hata ajilize. Kwa kifupi usimpe nafasi ya kumsikiliza
NAKAZIANakazia mwanamke anae Lia usithubutu hata kumsikiliza kimbia MITA 5000
Kwanza huna uwezo wa kumuacha ,pili huna sababu za msingi za kumuacha ndio maana unajiongelesha hapa.Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Na wewe liaWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?