Nipo afya ilitetereka kidogo sii unajua tena mwanawane mie nipo kwenye grid ya taifa. So nilikuwa napiga ia uhai kidogo. Ila nipo kamili gado sasa.upo mkuu wa majeshi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo afya ilitetereka kidogo sii unajua tena mwanawane mie nipo kwenye grid ya taifa. So nilikuwa napiga ia uhai kidogo. Ila nipo kamili gado sasa.upo mkuu wa majeshi?
Kuna kitu alisahau kukifanya akiwa na wewe, just mpe nafasi aje amalizie then aondoke zake for good.Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?