Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Kama amejirekebisha msamehe. Ila punguza kulia liaWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Mnasaga hadi meno?Yakipukutika yote mtaongeaje na kuelewana?Anyway,hebu nyamazeni kwanza,mpige mafunda mawilimawili ya maji halafu myajenge upya.Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Katika dunia hii usiwaaamini watu wawili kiurahisi rahisiWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
Wewe ni nguruwe
Uyo ni ngiri mkuuWewe ni nguruwe
Msaidie kuliaWakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi
Wakuu nifanyeje?
We nae...Hivi watu mnapata wapi ujasiri wa kuyaanika ya ndani humu mitandaoni?