Pre GE2025 Baada ya kumuweka kwenye bango la comedy Rais Samia awekwa kwenye bango la Valentine's. Chawa wanampoza baada ya kuumudhi

Pre GE2025 Baada ya kumuweka kwenye bango la comedy Rais Samia awekwa kwenye bango la Valentine's. Chawa wanampoza baada ya kuumudhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Huu uchawa nyie🤣🤣😂 hivi Samia ashtuki kufanywa kituko kama hivi jamani? Chawa wanazidi kumharibia maskini, soon atakimbia akiwa anabubujikwa machozi ya huzuni.

Imagine jinsi Marais wenzake watakuwa wanakufa mbavu kwa haya yanayotokea huku:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ruto atakuwa anasema, jamani najua nina hali mbaya na Gen Z wananipeleka moto ila muoneni jirani yetu, utafikiri methali ya kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ilitungwa kwaajili yake.:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

View attachment 3236284
Bango hili lipo mwenge Dar, karibu na British Council
Itabidi apewe likizo ya uzazi ndani ya miaka mitano ikifika kipindi cha uchaguzi
 
Mama anagawa mapesa kujipigia promo. Pongezi kwake
Hizo pesq hazijakufikia rafiki?
Kama vipi tuendeleze ile biashara yetu.
Una bodhaa nzuri hongera
 
Lucas Mwashambwa akiona mambo kama haya anabubujikwa na machozi ya furaha
 
Hizo pesq hazijakufikia rafiki?
Kama vipi tuendeleze ile biashara yetu.
Una bodhaa nzuri hongera
Hazijanifikia tugawane basi ulizozipata. Bidhaa zipo wateja hamuonekani
 
Wakuu,

Huu uchawa nyie🤣🤣😂 hivi Samia ashtuki kufanywa kituko kama hivi jamani? Chawa wanazidi kumharibia maskini, soon atakimbia akiwa anabubujikwa machozi ya huzuni.

Imagine jinsi Marais wenzake watakuwa wanakufa mbavu kwa haya yanayotokea huku:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ruto atakuwa anasema, jamani najua nina hali mbaya na Gen Z wananipeleka moto ila muoneni jirani yetu, utafikiri methali ya kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ilitungwa kwaajili yake.:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

View attachment 3236284
Bango hili lipo mwenge Dar, karibu na British Council
Mtatugonganisha.
 
Wakuu,

Huu uchawa nyie🤣🤣😂 hivi Samia ashtuki kufanywa kituko kama hivi jamani? Chawa wanazidi kumharibia maskini, soon atakimbia akiwa anabubujikwa machozi ya huzuni.

Imagine jinsi Marais wenzake watakuwa wanakufa mbavu kwa haya yanayotokea huku:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ruto atakuwa anasema, jamani najua nina hali mbaya na Gen Z wananipeleka moto ila muoneni jirani yetu, utafikiri methali ya kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ilitungwa kwaajili yake.:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

View attachment 3236284
Bango hili lipo mwenge Dar, karibu na British Council
Kwa upuuzi kama huu ni kwa nini Trump asisitishe misaada kupitia USAID? Unaambiwa gharama za kuprint hilo bango ni sawa na kujenga matundu matano ya vyoo pale shule ya msingi Zuzu na Kapere hapa Kantalamba
 
Mama anagawa mapesa kujipigia promo. Pongezi kwake
Enzi ya Mwendazake watu walikimbilia Tv kila ilipofika saa 2 kutazama kashikashi zake.. huyu anajitahidi kupewa kila aina ya promo lakini ameshindwa kuwashawishi wananchi hana mvuto hata majukwaani utafikiri anaongea bibi muuza wanzuki.. na mimacho anarembua km wale wadada wa Ubungo Riverside...
 
Enzi ya Mwendazake watu walikimbilia Tv kila ilipofika saa 2 kutazama kashikashi zake.. huyu anajitahidi kupewa kila aina ya promo lakini ameshindwa kuwashawishi wananchi hana mvuto hata majukwaa utafikiri anaongea bibi muuza wanzuki.. na mimacho anarembua km wale wadada wa Ubungo Riverside...
Hapo kwenye sentensi ya mwisho mi simooooo
 
Wakuu,

Huu uchawa nyie🤣🤣😂 hivi Samia ashtuki kufanywa kituko kama hivi jamani? Chawa wanazidi kumharibia maskini, soon atakimbia akiwa anabubujikwa machozi ya huzuni.

Imagine jinsi Marais wenzake watakuwa wanakufa mbavu kwa haya yanayotokea huku:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ruto atakuwa anasema, jamani najua nina hali mbaya na Gen Z wananipeleka moto ila muoneni jirani yetu, utafikiri methali ya kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ilitungwa kwaajili yake.:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

View attachment 3236284
Bango hili lipo mwenge Dar, karibu na British Council
images (7).jpeg
images (8).jpeg

Vile mbavyochekiwa
 
Back
Top Bottom