and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ukiona hivi ujue wananeemeka na uzembe wa serikali..
Akitokea mtu makini akaziba mianya huwezi kuona chawa..
Akitokea mtu makini akaziba mianya huwezi kuona chawa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maswali hayo ukijiuliza sana,unaweza pata kisukari na pressure, take it easy because the World is Living Suffering is Your ChoiceNani anagharamia
Viongozi wetu kwa makusudi kabisa wameamua kutengeneza taifa la watu wajingaWakuu,
Huu uchawa nyie🤣🤣😂 hivi Samia ashtuki kufanywa kituko kama hivi jamani? Chawa wanazidi kumharibia maskini, soon atakimbia akiwa anabubujikwa machozi ya huzuni.
Imagine jinsi Marais wenzake watakuwa wanakufa mbavu kwa haya yanayotokea huku.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ruto atakuwa anasema, jamani najua nina hali mbaya na Gen Z wananipeleka moto ila muoneni jirani yetu, utafikiri methali ya kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ilitungwa kwaajili yake.
Kuna mahala nilikutana na mishangazi flani hv ya kizenji, sikubaini Kwa haraka Iko idara gani za kiserikali, yanatambiana kuvaa nywele za nilioni moja huku wakisifia uongozi huu ulivyomtamu.Kuna wajinga wanakula hii nchi sasa hivi, kama panya.