Pre GE2025 Baada ya kumuweka kwenye bango la comedy Rais Samia awekwa kwenye bango la Valentine's. Chawa wanampoza baada ya kuumudhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Itabidi apewe likizo ya uzazi ndani ya miaka mitano ikifika kipindi cha uchaguzi
 
Mama anagawa mapesa kujipigia promo. Pongezi kwake
Hizo pesq hazijakufikia rafiki?
Kama vipi tuendeleze ile biashara yetu.
Una bodhaa nzuri hongera
 
Lucas Mwashambwa akiona mambo kama haya anabubujikwa na machozi ya furaha
 
Hizo pesq hazijakufikia rafiki?
Kama vipi tuendeleze ile biashara yetu.
Una bodhaa nzuri hongera
Hazijanifikia tugawane basi ulizozipata. Bidhaa zipo wateja hamuonekani
 
Mtatugonganisha.
 
Kwa upuuzi kama huu ni kwa nini Trump asisitishe misaada kupitia USAID? Unaambiwa gharama za kuprint hilo bango ni sawa na kujenga matundu matano ya vyoo pale shule ya msingi Zuzu na Kapere hapa Kantalamba
 
Mama anagawa mapesa kujipigia promo. Pongezi kwake
Enzi ya Mwendazake watu walikimbilia Tv kila ilipofika saa 2 kutazama kashikashi zake.. huyu anajitahidi kupewa kila aina ya promo lakini ameshindwa kuwashawishi wananchi hana mvuto hata majukwaani utafikiri anaongea bibi muuza wanzuki.. na mimacho anarembua km wale wadada wa Ubungo Riverside...
 
Hapo kwenye sentensi ya mwisho mi simooooo
 

Vile mbavyochekiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…