Pre GE2025 Baada ya kumuweka kwenye bango la comedy Rais Samia awekwa kwenye bango la Valentine's. Chawa wanampoza baada ya kuumudhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi hao chawa hawajui dini yake haitambui huyo Valentino. Wanamdhalilisha kidini sjui km wanajua hilo.
 
Viongozi wetu kwa makusudi kabisa wameamua kutengeneza taifa la watu wajinga
 
Kuna wajinga wanakula hii nchi sasa hivi, kama panya.
Kuna mahala nilikutana na mishangazi flani hv ya kizenji, sikubaini Kwa haraka Iko idara gani za kiserikali, yanatambiana kuvaa nywele za nilioni moja huku wakisifia uongozi huu ulivyomtamu.
 
Mnampendaje mke wa wenyewe? Na mama ya Abdul? Kwani nyinyi hamna mama zenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…