Baada ya kunikula kanichunia


Kwa uelewa wangu mdogo kabla haujatangazia umma kua unaoa lzm utest mitambo ndio uutangazie umma kwa mikogo n.k labda kama uturuhusu kuoa wengi lkn kama ni mmoja lzm mitambo itestiwe
 
Duh! kwanza pole kwa unayopitia kwa sasa focus kwenye malengo yako utamsahau polepole
 
Naomba kujua wewe na Frank mlikutana wapi? Wewe unajushughulisha na shughuli gani ya kiuchumi ya kuingiza kipato?
 
Unaumia kisa kakublock mbona nikitu kidogo sana tu hiko kuwa na moyo wakutokujali my dear...!kama hakupendi move on na kama ni wako mungu kakupangia atarudi. Tatizo 25 mapenz yanakupelekesha ukivuka 28 utakiwa unapuuzia vitu kama hivyo.endelea kufanya shuguli zako
 
Waswahili wana kamsemo "usitishie kujamba wakati unaharisha"😅😅😅
 
Nipo tayari kukusaiidia
Ila kabla nijue hili

1 alikukulaje? Kifo cha mende,dog style au mlisimama?
2 ulikata mauno? Au ulilala tu km una subiri gari kituoni
3 ulifika kileleni?


Hiv nnaandika nini?
 
.Kuna watu wanakuja kweny maisha yetu kwa ajili ya kutufunza tu kipi tusije fanya tena maishani

Ukimtafuta ataona aah kumbe kweli nmemuumiza eeh na ananipenda.

Dawa yake na ww mtie block dawa ya jeuri kibuli alf siku ajilete mpe jibu moja hadi aone giza
 
Haa mm nakupenda mbona.
 
Kwa uelewa wangu mdogo kabla haujatangazia umma kua unaoa lzm utest mitambo ndio uutangazie umma kwa mikogo n.k labda kama uturuhusu kuoa wengi lkn kama ni mmoja lzm mitambo itestiwe
Siyo sawa!! Mtumainie bwana Mungu wako na mtake msaada NAYE atakunyooshea njia zako. Je wamtumainia mwanadamu???

Kuonja ni tamaa na hila za Muovu shetani. Ndoa ni ibada na IBADA ZOTE MSINGI WAKE MKUU NI SUBIRA [mfano kufunga unajinyima kula ilihali chakula unacho, au unajilazimisha kwenda sehemu za ibada wakati ungeweza kufanya mambo mengine au mtu kakuudhi umeumia lakini unaamua kusamehe, unatoa sadaka na kujinyima kufanya Manunuzi mengine]
 
Uko wapi Dada?Nchek inbox nkuambie kitu
 
Lakini toka mwanzo tulikwambia hupwendwi , ukaona umtunuku na tunda haya Sasa Yako wapi? Em nenda kamtafute iddi makengo huko akufunde[emoji23][emoji23]
 
Bikra ya mchongo hata mimi lzm ningekukimbia na block juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…