Baada ya kunikula kanichunia

Baada ya kunikula kanichunia

Mdogo wangu am real so sad for you...

Mwanaume anayekupenda na mwenye future na wewe anatakiwa KUFUATA taratibu zote ikiwemo kuja nyumba kwetu, kutoa mahari na mfunge ndoa!!! Toka lini kumtunuku mwanaume bikra yako nje ya ndoa kunakufanya wapekee????

Leo kakuacha, kesho anaolewa na mwingine utaenda kumwambia BIKRA yako imepotelea wapi? Atakuona ulikuwa mchepukaji na hata ikitokea sintofahamu ataamini maana kama uliweza kutunuku kabla ya ndoa utashindwa ukiwa kwenye ndoa???

WASICHANA tubadilike jamani!!! Sasa hivi amekuongeza kwenye ORODHA YA ALIOFANYA NAO NGONO NA HUENDA ALIOWEKA JIWE LA MSINGI!!!!

Amini usiamini MWANAUME anapokukuta BIKRA kwenye HONEYMOON yenu LAZIMA ATAKUHESHIMU SANA MAANA HAKUNA ZAWADI KUBWA KWAKE KAMA KUINGIA KWENYE NDOA UKIWA SEALED!!

Pole sana, samehe MOVE ON MDOGO WANGU.

Mdogo wangu am real so sad for you...

Mwanaume anayekupenda na mwenye future na wewe anatakiwa KUFUATA taratibu zote ikiwemo kuja nyumba kwetu, kutoa mahari na mfunge ndoa!!! Toka lini kumtunuku mwanaume bikra yako nje ya ndoa kunakufanya wapekee????

Leo kakuacha, kesho anaolewa na mwingine utaenda kumwambia BIKRA yako imepotelea wapi? Atakuona ulikuwa mchepukaji na hata ikitokea sintofahamu ataamini maana kama uliweza kutunuku kabla ya ndoa utashindwa ukiwa kwenye ndoa???

WASICHANA tubadilike jamani!!! Sasa hivi amekuongeza kwenye ORODHA YA ALIOFANYA NAO NGONO NA HUENDA ALIOWEKA JIWE LA MSINGI!!!!

Amini usiamini MWANAUME anapokukuta BIKRA kwenye HONEYMOON yenu LAZIMA ATAKUHESHIMU SANA MAANA HAKUNA ZAWADI KUBWA KWAKE KAMA KUINGIA KWENYE NDOA UKIWA SEALED!!

Pole sana, samehe MOVE ON MDOGO WANGU.
Kwa uelewa wangu mdogo kabla haujatangazia umma kua unaoa lzm utest mitambo ndio uutangazie umma kwa mikogo n.k labda kama uturuhusu kuoa wengi lkn kama ni mmoja lzm mitambo itestiwe
 
Duh! kwanza pole kwa unayopitia kwa sasa focus kwenye malengo yako utamsahau polepole
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi 8 kwa jina lake ni Frank, kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndiyo huyo mchaga ambae hayuko romantic. Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpaka mwezi uliyopita ndiyo tulifanikiwa kukulana.

Nikiwa nimetimiza miaka 25 mwezi uliopita niliona siyo mbaya kumtunuku ninayemwita mpenzi wangu Frank. Hata yeye alifurahi maana ndiyo mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri), akaniahidi ahadi kedekede. Basi ndiyo hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sasa ndugu zangu mimi ndiyo bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia. Baada ya tendo alionesha kunijali kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndiyo mambo yakarudi kama mwanzo, hanitafuti mpaka nimuanze. Mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta, baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpaka hivi leo ninavyoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha. Nilikuwa na view status zake naye ana view zangu ila baadaye nikaona kimya, sioni status zake wala sioni akiview zangu.

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli, ikabidi nimuulize sister wangu kwamba anaona status za Frank akajibu ndiyo, nikamwambia na dp, aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa!

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia kama leo baada ya kujua kumbe kaniblock. Ina maana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage? Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara, ila ndio hivyo tena.

Sijutii kutolewa bikira, kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi.

Ni hayo tu naombeni mniliwaze. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Naomba kujua wewe na Frank mlikutana wapi? Wewe unajushughulisha na shughuli gani ya kiuchumi ya kuingiza kipato?
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi 8 kwa jina lake ni Frank, kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndiyo huyo mchaga ambae hayuko romantic. Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpaka mwezi uliyopita ndiyo tulifanikiwa kukulana.

Nikiwa nimetimiza miaka 25 mwezi uliopita niliona siyo mbaya kumtunuku ninayemwita mpenzi wangu Frank. Hata yeye alifurahi maana ndiyo mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri), akaniahidi ahadi kedekede. Basi ndiyo hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sasa ndugu zangu mimi ndiyo bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia. Baada ya tendo alionesha kunijali kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndiyo mambo yakarudi kama mwanzo, hanitafuti mpaka nimuanze. Mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta, baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpaka hivi leo ninavyoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha. Nilikuwa na view status zake naye ana view zangu ila baadaye nikaona kimya, sioni status zake wala sioni akiview zangu.

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli, ikabidi nimuulize sister wangu kwamba anaona status za Frank akajibu ndiyo, nikamwambia na dp, aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa!

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia kama leo baada ya kujua kumbe kaniblock. Ina maana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage? Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara, ila ndio hivyo tena.

Sijutii kutolewa bikira, kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi.

Ni hayo tu naombeni mniliwaze. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Unaumia kisa kakublock mbona nikitu kidogo sana tu hiko kuwa na moyo wakutokujali my dear...!kama hakupendi move on na kama ni wako mungu kakupangia atarudi. Tatizo 25 mapenz yanakupelekesha ukivuka 28 utakiwa unapuuzia vitu kama hivyo.endelea kufanya shuguli zako
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi 8 kwa jina lake ni Frank, kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndiyo huyo mchaga ambae hayuko romantic. Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpaka mwezi uliyopita ndiyo tulifanikiwa kukulana.

Nikiwa nimetimiza miaka 25 mwezi uliopita niliona siyo mbaya kumtunuku ninayemwita mpenzi wangu Frank. Hata yeye alifurahi maana ndiyo mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri), akaniahidi ahadi kedekede. Basi ndiyo hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sasa ndugu zangu mimi ndiyo bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia. Baada ya tendo alionesha kunijali kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndiyo mambo yakarudi kama mwanzo, hanitafuti mpaka nimuanze. Mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta, baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpaka hivi leo ninavyoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha. Nilikuwa na view status zake naye ana view zangu ila baadaye nikaona kimya, sioni status zake wala sioni akiview zangu.

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli, ikabidi nimuulize sister wangu kwamba anaona status za Frank akajibu ndiyo, nikamwambia na dp, aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa!

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia kama leo baada ya kujua kumbe kaniblock. Ina maana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage? Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara, ila ndio hivyo tena.

Sijutii kutolewa bikira, kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi.

Ni hayo tu naombeni mniliwaze. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Waswahili wana kamsemo "usitishie kujamba wakati unaharisha"😅😅😅
 
Nipo tayari kukusaiidia
Ila kabla nijue hili

1 alikukulaje? Kifo cha mende,dog style au mlisimama?
2 ulikata mauno? Au ulilala tu km una subiri gari kituoni
3 ulifika kileleni?


Hiv nnaandika nini?
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi 8 kwa jina lake ni Frank, kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndiyo huyo mchaga ambae hayuko romantic. Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpaka mwezi uliyopita ndiyo tulifanikiwa kukulana.

Nikiwa nimetimiza miaka 25 mwezi uliopita niliona siyo mbaya kumtunuku ninayemwita mpenzi wangu Frank. Hata yeye alifurahi maana ndiyo mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri), akaniahidi ahadi kedekede. Basi ndiyo hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sasa ndugu zangu mimi ndiyo bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia. Baada ya tendo alionesha kunijali kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndiyo mambo yakarudi kama mwanzo, hanitafuti mpaka nimuanze. Mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta, baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpaka hivi leo ninavyoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha. Nilikuwa na view status zake naye ana view zangu ila baadaye nikaona kimya, sioni status zake wala sioni akiview zangu.

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli, ikabidi nimuulize sister wangu kwamba anaona status za Frank akajibu ndiyo, nikamwambia na dp, aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa!

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia kama leo baada ya kujua kumbe kaniblock. Ina maana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage? Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara, ila ndio hivyo tena.

Sijutii kutolewa bikira, kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi.

Ni hayo tu naombeni mniliwaze. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
.Kuna watu wanakuja kweny maisha yetu kwa ajili ya kutufunza tu kipi tusije fanya tena maishani

Ukimtafuta ataona aah kumbe kweli nmemuumiza eeh na ananipenda.

Dawa yake na ww mtie block dawa ya jeuri kibuli alf siku ajilete mpe jibu moja hadi aone giza
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi 8 kwa jina lake ni Frank, kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndiyo huyo mchaga ambae hayuko romantic. Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpaka mwezi uliyopita ndiyo tulifanikiwa kukulana.

Nikiwa nimetimiza miaka 25 mwezi uliopita niliona siyo mbaya kumtunuku ninayemwita mpenzi wangu Frank. Hata yeye alifurahi maana ndiyo mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri), akaniahidi ahadi kedekede. Basi ndiyo hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sasa ndugu zangu mimi ndiyo bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia. Baada ya tendo alionesha kunijali kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndiyo mambo yakarudi kama mwanzo, hanitafuti mpaka nimuanze. Mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta, baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpaka hivi leo ninavyoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha. Nilikuwa na view status zake naye ana view zangu ila baadaye nikaona kimya, sioni status zake wala sioni akiview zangu.

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli, ikabidi nimuulize sister wangu kwamba anaona status za Frank akajibu ndiyo, nikamwambia na dp, aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa!

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia kama leo baada ya kujua kumbe kaniblock. Ina maana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage? Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara, ila ndio hivyo tena.

Sijutii kutolewa bikira, kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi.

Ni hayo tu naombeni mniliwaze. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Haa mm nakupenda mbona.
 
Kwa uelewa wangu mdogo kabla haujatangazia umma kua unaoa lzm utest mitambo ndio uutangazie umma kwa mikogo n.k labda kama uturuhusu kuoa wengi lkn kama ni mmoja lzm mitambo itestiwe
Siyo sawa!! Mtumainie bwana Mungu wako na mtake msaada NAYE atakunyooshea njia zako. Je wamtumainia mwanadamu???

Kuonja ni tamaa na hila za Muovu shetani. Ndoa ni ibada na IBADA ZOTE MSINGI WAKE MKUU NI SUBIRA [mfano kufunga unajinyima kula ilihali chakula unacho, au unajilazimisha kwenda sehemu za ibada wakati ungeweza kufanya mambo mengine au mtu kakuudhi umeumia lakini unaamua kusamehe, unatoa sadaka na kujinyima kufanya Manunuzi mengine]
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi 8 kwa jina lake ni Frank, kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndiyo huyo mchaga ambae hayuko romantic. Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpaka mwezi uliyopita ndiyo tulifanikiwa kukulana.

Nikiwa nimetimiza miaka 25 mwezi uliopita niliona siyo mbaya kumtunuku ninayemwita mpenzi wangu Frank. Hata yeye alifurahi maana ndiyo mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri), akaniahidi ahadi kedekede. Basi ndiyo hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sasa ndugu zangu mimi ndiyo bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia. Baada ya tendo alionesha kunijali kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndiyo mambo yakarudi kama mwanzo, hanitafuti mpaka nimuanze. Mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta, baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpaka hivi leo ninavyoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha. Nilikuwa na view status zake naye ana view zangu ila baadaye nikaona kimya, sioni status zake wala sioni akiview zangu.

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli, ikabidi nimuulize sister wangu kwamba anaona status za Frank akajibu ndiyo, nikamwambia na dp, aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa!

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia kama leo baada ya kujua kumbe kaniblock. Ina maana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage? Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara, ila ndio hivyo tena.

Sijutii kutolewa bikira, kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi.

Ni hayo tu naombeni mniliwaze. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Uko wapi Dada?Nchek inbox nkuambie kitu
 
Lakini toka mwanzo tulikwambia hupwendwi , ukaona umtunuku na tunda haya Sasa Yako wapi? Em nenda kamtafute iddi makengo huko akufunde[emoji23][emoji23]
 
Bikra ya mchongo hata mimi lzm ningekukimbia na block juu
 
Back
Top Bottom