Hahaa, LabdaLabda alikuta bikra FEKI
mimi ndo frank mwenyewe, ninachokumbuka sijaitoa vizuri , nimeitoa mara moja tu, sasa sijui salim kamalizia🤣🤣🤣🤣Wewe lako ni lipi kati ya hayo?
Si haki kabisa. Nataman bwana Frank angejitokeza anyooshe maelezo.Ndugu mchangiaji wewe unaona ni haki kweli?
Sina chochote najifunza hapaVipi, unayo hiyo; tuje tuweke kambi
Ni vizuri kujifunza, elimu haina mwisho; huwezi kujijua mwenyeweSina chochote najifunza hapa
ananionea tu , mimi nimeitoa mara moja tu, ameanza kunilaumu, bora ingekuwa mara mbili afu mimi ni mwinjirist etSi haki kabisa. Nataman bwana Frank angejitokeza anyooshe maelezo.
[emoji2][emoji2][emoji2] khaaa! Sasa kwa nini umemchunia?ananionea tu , mimi nimeitoa mara moja tu, ameanza kunilaumu, bora ingekuwa mara mbili afu mimi ni mwinjirist et
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mimi ndo frank mwenyewe, ninachokumbuka sijaitoa vizuri , nimeitoa mara moja tu, sasa sijui salim kamalizia
Kuna kipimo?Ni vizuri kujifunza, elimu haina mwisho; huwezi kujijua mwenyewe
Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa
Pole,nimekuonea huruma kwa dhati kabisa.Ila sema haikuwan na ulazima wa kumuonyesha utupu wako Frank kabla ya ndoa kwa sababu ulikuwa unafanya uasherati tuu huo,ijapo umepamba kwa neno "Kulana".Mungu akusaidie.Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi8 kwa jina lake ni Frank kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndio huyo mchaga ambae hayuko romantic… Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpk mwezi uliopita ndio tulifanikiwa kukulana
Nikiwa nimetimiza miaka25 mwezi uliopita niliona sio mbaya kumtunuku ninaemwita mpenzi wangu Frank
Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi
Sasa ndugu zangu mimi ndio bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia.. baada ya tendo alionesha kunikea Kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndio mambo yakarudi kama mwanzo hanitafuti mpk nimuanze… mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza Kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu
Tangu hapo sikumtafuta baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpk hivi leo navoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha … nilikuwa na view status zake nae ana view zangu ila baadae nikaona kimyaa sioni status zake wala sioni akiview zangu
Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli ikabidi nimuulize sister angu kwamba anaona status za Frank akajibu ndio ni kamwambia na dp aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa
Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia Kama Leo baada ya kujua kumbe kaniblock
Inamaana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage…
Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara ila ndio hivyo tena
Sijutii kutolewa bikira…. Kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi
Ni hayo tu naombeni mniliwaze [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
ha ha ha, mpaka uingie uwanjaniKuna kipimo?
Mambo ya mpaka ndoa, wengi hupoteza wapenziPole,nimekuonea huruma kwa dhati kabisa.Ila sema haikuwan na ulazima wa kumuonyesha utupu wako Frank kabla ya ndoa kwa sababu ulikuwa unafanya uasherati tuu huo,ijapo umepamba kwa neno "Kulana".Mungu akusaidie.
Lakini pia ume-sound kama wewe ni msanii hiv.Kwa jicho la ndani ni kama kuna kitu unakitangaza humu.
[emoji706][emoji706][emoji706]ha ha ha, mpaka uingie uwanjani