Baada ya kunikula kanichunia

Baada ya kunikula kanichunia

unahuakika imetoka vizuri ebu tuangalie inawezekana bwana frank ajaitoa vizuri
 
Unakumbuka story ya Tajiri na Lazaro wa kwenye Biblia

Mwisho wa siku yule tajiri alijibiwa vipi

Ibrahimu akamwambia, ‘Wasiposikiliza na kutii sheria za Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”’

Nataka kusema hata mtu atoke kuzimu akuambie hivi huwezi kuaminiiiiiiiiii
Wainjilisti Sasa😅😅
 
Kwahiyo ulitegemea mwaka na miezi nane hamjafanya yeye huko atakuwa amekaa hafanyi anakusubiri wewe?? Simple formula alikuwa amesgakuacha siku nyingi na akaanzisha mahusiano na mtu mwingine lakini sisi wanaume huwa hatuachi kipengele ambacho hatujakimaliza hadi tukimalize. Kwahiyo ulivyojileta kwenye 18 watu wamebutua kisha kwenda zao. That's how sexual world is.
 
Amekufungulia Dunia,


Alichokuwa anakitaka kakipata,


Halafu hii tabia ya kumzungusha mwanaume sitaki nataka kila siku utakuwa unalia

Hawa viumbe wana dharau ya kuumiza na wala hawajali.

Sikumzungusha dear ni vile tulikuwa tunajaribugii inagomaa hivyo alikuwa ananionea huruma
 
Back
Top Bottom