Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama utani huu mjadala umeibuka, nimecheka sana leo! 🤣🤣🤣Nimempa
Jukumu mwandishi wetu mbobevu Nifah ataanzisha uzi na tutajadili.
Hapa tupo kwa uzi wa mlokole mpya madam Irene uwoya so si vyema kujadili mamiss wa ngurumo ya upako 😂
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa Mwamposa mtu unaenda na pepo 1 unarudi na mapepo 15
Kwani si kashamtema???![emoji849][emoji849][emoji849]au wapo woteeMwambie missyrose
Chibu mwenyewe ameshamega kisela akapita zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi nasikia anamnyima mheshimiwa wetu mama totoo usingizi kwa baby dady wake mchafuzi wa mjini!
ZamaaaaniiiiiiKheeee Chibu kashajiwekaga mle!??? Hii mpya kwangu [emoji119][emoji23]
Hatariiii kaahUkistaajabu ya Musa utayaona ya firauni [emoji23]
Ila price breaker ni mchafu sanaaaaWewe ni kama mimi, hilo suala la gym lilipokuja nilimkumbuka yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuletee sasa uzi mpya tujadili kwa ndaniKama utani huu mjadala umeibuka, nimecheka sana leo! 🤣🤣🤣
Hapa umenena mkuu.Uzee haupigi hodi
Kwamba uwoya kazaliwa 1988?Yes, yule hana sababu ya kudanganya!
Atubu na kusali sana, alimmaliza alipoolewa na Dogo Janja.
Yule jamaa alimpenda kweli!
Nausubiria kwa shauku kubwa.Very soon, nikiweka mambo sawa kesho tunaweza kuruka nao.
Ikishindikana basi tutafungulia mwaka.
Ni mchakato, huenda ikachukua muda kidogo ila nitaileta tu.
Ubaya hili limekuja kwa kuchelewa wakati ambao nina ratiba nyingine.
Sio case, naandaa kilicho bora.