Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi natengua kauli....Wala hajatangaza dada wa watu, ni mimi tu na umbea wangu nimetafuta habari nikaletewa hii mezani 😜
Karibu, tunapata shwain na wenzako hapa kilimaniNambabtano nae ni msh7ndi.
Ama kweli; ukipenda, chongo utaiona kengeza
Asilimu tu asijidanganye, hakuna dini nje ya Uislam.
Mahudhurio yako huku sio mabaya siku hizi 🤣🤣🤣Nambabtano nae ni msh7ndi.
Ama kweli; ukipenda, chongo utaiona kengeza
Asilimu tu asijidanganye, hakuna dini nje ya Uislam.
Aliolewa kiukweli kabisa, ila akamchukulia poa dogo akamtesa sana dogo akajikataa.Kwa hiyo huyu aliolewa na janjaro au ilikua drama
Alright, thanks.Aliolewa kiukweli kabisa, ila akamchukulia poa dogo akamtesa sana dogo akajikataa.
Mpaka leo yeye ndio anateseka na penzi la dogo, yeye dogo ameshajipata kwa toto la Arusha Linah na hivi sasa wana mtoto wa kiume.
Si unajua tena Waswahili? Hawakosi kuweka yao ya kiswahili 😂😂Kabla sayansi iliyoleta ugonjwa kuleta majibu kuna njia fupi inasema ni Ushirikina enewei😂...
Kila Upande wote utaleta majibu tuu mwendo wa kuvurugana tu.
pipi kifua je sio chanzo na mwendelezo👣
Atafanya kilokole zaidiHao madogo ndio wepiiiii? Akina Lorde Mich?
Mi ninachojiuliza tu, ataacha na yale ‘mengine’? [emoji12]