Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Alimuua Mme wake Kwa stress sawa na zari wakishakufa waume zao ndio uwafanya kuwamiss,wakiwa hai full kuwasumbua hawatulii na waume zao kuheshimu ndoa ni full kuwastreshisha na vi Ben ten,Hadi waume ufa.
Wapo watu ni maagent wametumwa roho yako kwenye mahusiano.chunga sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umejua kunichekesha leo.

Kumbe ndio maana akapewa cheo cha Nabii Mkuu? Kama ndio hivyo anastahili [emoji23]
Yule baba me natamanigi kupita naye nimchune sadaka.. sema tuu sikaagi Arusha muda mrefu. Ila one day yes
 
Ajapatabwanawakumtulizaa aachane na hizikeleleeee za unaaaaa
 
Wee ndiku aliteseka Kwa yule dada jamani mwee
Bora Zari kwa Ivan ,Ivan ndo alizingua ila Uwoya hakuwahi mpenda mshikaji from day one aliteseka mnooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…