Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Si ndo Uwoya aliwauza kwa jamaa wa Dubai, had aristotee aligundulika kwa mkewe, baada ya kukuta text za kusifiwa kuww ana mk mnato, cjui ndo alkua anavuliwa kwa mara ya kwanza.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaa nyie jamaniiii! Hivi wanaanzaje? Haogopi?
Ila Aristote nae ana mushkeli.
 
Si ndo Uwoya aliwauza kwa jamaa wa Dubai, had aristotee aligundulika kwa mkewe, baada ya kukuta text za kusifiwa kuww ana mk mnato, cjui ndo alkua anavuliwa kwa mara ya kwanza.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa style hii, Nietzsche lazima atesekeπŸ˜€πŸ˜‚πŸ€£
 
Hawezi, yule mtoto wa kishua kabisa.

Foundation sidhani, huyu ni mvivu hanaga muendelezo wa mambo yake. Kila anachoanzisha hakidumu hata miezi kinakufa.
Hafu kweli ujuwe mvivu sana yule yaan ni aina ya watu wakishapataga hela wanarelax wanasahau na project kabisa akisinyaa kiuchumi ndo akili zinarud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…