Baada ya kuona Mbowe anapigiwa kampeni na machawa wa CCM, naona Lissu ni mgombea sahihi kwa sasa

Baada ya kuona Mbowe anapigiwa kampeni na machawa wa CCM, naona Lissu ni mgombea sahihi kwa sasa

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable Tlaatlaah na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Lissu akipambana na Samia majukwaani na kupewa makavu bila chega na Lissu kitu ambacho Samia hawezi.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe.
Mbowe Yuko approachable mnaweza jadili huyo mropokaji wewe uanweza jadili nae nini? 😆😆
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe.
CCM wamekamatwa pabaya sana na Tundu Lissu
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe.
Gentleman,
huo ni upotoshaji wa wazi kabisa,
uchaguzi wa ndani wa chadema Taifa unaihusu chadema pekeyake, na si vinginevyo.

Hata hivyo,
wataalamu waandamizi wa demokrasia za vyama vya siasa, wakitoa maelezo, uchambuzi na tathmini zao za kibobevu kwamba ni mgombea gani katika uchaguzi huo ana nafasi kubwa zaidi ya kushinda kuliko mwingine, kwa faida ya wadau, kuna makosa hapo kweli gentleman?🐒

kusema masaa 48 aloyatoa Mbowe yamempa kiwewe na mawenge Lisu, ni uongo au kweli?

acheni wataalamu wa siasa wafanye kazi zao kwa uhuru. Hakuna haja ya kuwasingizia kwamba wao ni wa chama Fulani ama laa, huo sio ungwana 🐒
 
Sugu Moto Chini Vijana wake akina Choicevariable na Lucas Mwashambwa walikudanganya ukadanganyika 😂
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Hata kama umechelewa kujua lakini umeukiri ukweli tuliouna muda mrefu. Kitendo cha Mbowe kuanza maigizo ya kiccm kuita watu kwake na kujifanya wameenda kumshawishi agombee, ndio nimezidi kudhibitisha Mbowe hastahili tena kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm.
 
Mbowe Yuko approachable mnaweza jadili huyo mropokaji wewe uanweza jadili nae nini? 😆😆
Unaweza kumuita mkajadili, au mnaweza kumuita mumtapeli? Yale maridhiano ya kitapeli huwezi muitia Lisu. Nyie hakikisheni Mbowe anarudisha hela yenu, kazi mliyompa ya kumdhibiti jini kwenye chupa imemshinda, maana jini limeshatoka kwenye chupa.
 
Hata kama umechelewa kujua lakini umeukiri ukweli tuliouna muda mrefu. Kitendo cha Mbowe kuanza maigizo ya kiccm kuita watu kwake na kujifanya wameenda kumshawishi agombee, ndio nimezidi kudhibitisha Mbowe hastahili tena kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm.
Hapana, hadi sasa Mbowe bado ni kiongozi wa kuigwa lkn kutokana na upepo kwa sasa Lissu ndie anaweza kwenda nao.

Tulidhani Samia angekuwa muungwana kumbe bado anapita njia zile zile za Magufuli so anahitaji mtu dizaini ya Lissu.
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Mmh, na wewe unataka kujaa kwenye ujanja wa kishamba huo?

Wanafanya hivyo ili usigundue kuwa Lissu yuko compromised! Wakimuunga mkono Lissu hadharani si utagundua mzee baba?
 
Wana CHADEMA wote wenye akili Timamu hawezi kukubali kumkabidhi lissu chama ili aanze kukiendesha kihuni huni kwa kushirikiana na wanaharakati uchwara. Kwanza ataongoza vipi CHADEMA wakati muda wote Anashinda akizurura nje ya Nchi?
Lissu atatoa lugha ambayo CCM wataielewa.
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Ila lisssu ataua watu mwaka huu maana hanaga kauli za kubebembeleza yeye ananyoola shwaa hana unafiki hata sumuni .
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakitaka Mbowe aendelee wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
CCM wanampigia mbowe debe kwa sababu CCM wanamhitaji sana mbowe..Lissu ni mwiba mkali kwa ccm. Hili wanalijua ccm wote
 
Wana CHADEMA wote wenye akili Timamu hawezi kukubali kumkabidhi lissu chama ili aanze kukiendesha kihuni huni kwa kushirikiana na wanaharakati uchwara. Kwanza ataongoza vipi CHADEMA wakati muda wote Anashinda akizurura nje ya Nchi?
Wewe n mkewe ambae unajua ana dhurura nje ya nchi..? Ulisije kuwa lissu ana kukanda
 
Wana CHADEMA wote wenye akili Timamu hawezi kukubali kumkabidhi lissu chama ili aanze kukiendesha kihuni huni kwa kushirikiana na wanaharakati uchwara. Kwanza ataongoza vipi CHADEMA wakati muda wote Anashinda akizurura nje ya Nchi?
mnamuogopa
 
Gentleman,
huo ni upotoshaji wa wazi kabisa,
uchaguzi wa ndani wa chadema Taifa unaihusu chadema pekeyake, na si vinginevyo.

Hata hivyo,
wataalamu waandamizi wa demokrasia za vyama vya siasa, wakitoa maelezo, uchambuzi na tathmini zao za kibobevu kwamba ni mgombea gani katika uchaguzi huo ana nafasi kubwa zaidi ya kushinda kuliko mwingine, kwa faida ya wadau, kuna makosa hapo kweli gentleman?
 
Back
Top Bottom