Baada ya kuona Mbowe anapigiwa kampeni na machawa wa CCM, naona Lissu ni mgombea sahihi kwa sasa

Baada ya kuona Mbowe anapigiwa kampeni na machawa wa CCM, naona Lissu ni mgombea sahihi kwa sasa

Mbowe Yuko approachable mnaweza jadili huyo mropokaji wewe uanweza jadili nae nini? 😆😆
Ni kweli, Lisu hawezi kuwa approached na wahuni watoa rushwa kama Abdul, huyu ndiye anayefaa kuwa kiongozi, kwa sababu anachukia uhuni na rushwa.
 
Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.
Ni kweli Lissu ni mropokaji asiye na breki, asije kutuchafulia bure kwa makavu live
Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Naunga mkono hoja nami nimeshauri Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!
P
 
I
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Ngoja tuone !
 
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
Ili uwe na nguvu ya kupiga kelele kina Soka warudi unahitaji kwanza kujenga taasisi imara huwezi kupiga kelele peke yako au na taasisi legelege.
 
CCM iingilie uchaguzi wenu wa ndani, ili iwaje? Acheni kuitukanisha CCM bure, CCM ni Chama cha mfano duniani, nyie CDM hata uchaguzi wenu tu wa ndani mnataka kutoana roho, alafu mnatusingizia CCM, malizaneni wenyewe huko mtajua na dikteta wenu Mbowe.

Alafu CDM kwani kugombea Urais ni lazima uwe Mwenyekiti? Mbona kama hata hamjijui?
Angalau Chadema wanataka kutoana roho CCM huwa wanauana kabisa.
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).

Mbowe Yuko approachable mnaweza jadili huyo mropokaji wewe uanweza jadili nae nini? 😆😆
IMG-20241219-WA0021.jpg
 
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.

Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.

Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Mbona KM - CCM alisema hadharani kuwa ni Mbowe rafiki yake.
 
Wana CHADEMA wote wenye akili Timamu hawezi kukubali kumkabidhi lissu chama ili aanze kukiendesha kihuni huni kwa kushirikiana na wanaharakati uchwara. Kwanza ataongoza vipi CHADEMA wakati muda wote Anashinda akizurura nje ya Nchi?
Huu ni uzwazwa ,chama bado kinawaitaji wote lissu na mbowe , lissu anaweza leta amsha amsha kubwa ndani ya chama na anaweza kufanya vizuri tu ndani ya chama ,shida kumekuepo upambe wa kipumbavu , watu wanaweka nguvu kwa watu bila kutoangalia future ya chama kwa badae ,ujinga mtup
 
Back
Top Bottom