imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa tunamtaka kiongozi wa aina ya Lissu.Lissu alimwambia Magufuli mchana kweupe kuwa ni dikteta uchwara.
Kiongozi anayeichukia RUSHWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tunamtaka kiongozi wa aina ya Lissu.Lissu alimwambia Magufuli mchana kweupe kuwa ni dikteta uchwara.
Duh awe compromised na waliotaka kumuua? basi atakuwa juha au mimi ndiye nipo compromised.Mmh, na wewe unataka kujaa kwenye ujanja wa kishamba huo?
Wanafanya hivyo ili usigundue kuwa Lissu yuko compromised! Wakimuunga mkono Lissu hadharani si utagundua mzee baba?
Hahahaaaa, eti wewe ndiye uko compromised! Nimecheka sana.Duh awe compromised na waliotaka kumuua? basi atakuwa juha au mimi ndiye nipo compromised.
Ndicho wanachokitaka. Wanajua wakimpigia chepuo Mbowe mtampigia kura Lissu ambae kwa upande wa strategy hamfikii Mbowe. Anayeogopwa ni Mbowe sio Lissu.Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.
Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.
Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.
Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.
Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Ili awe kiongozi mzuri Lissu anatakiwa awe na break ya maneno au awe na washauri wazuri.Ila lisssu ataua watu mwaka huu maana hanaga kauli za kubebembeleza yeye ananyoola shwaa hana unafiki hata sumuni .
Unajali nini na majizi CCMMbowe Yuko approachable mnaweza jadili huyo mropokaji wewe uanweza jadili nae nini? 😆😆
Endeleeni kuropoka nae muone kama mtapataUnajali nini na majizi CCM
Kwan anakosea anayosema..? Je sheria inasemaje katika hilo.? Ukute sisi ndio tuna kosea.Ili awe kiongozi mzuri Lissu anatakiwa Lissu awe na break ya maneno au awe na washauri wazuri.
Ukitajwa tu umefika mzee wa KUBUBUJIKWA na machozi.Wana CHADEMA wote wenye akili Timamu hawezi kukubali kumkabidhi lissu chama ili aanze kukiendesha kihuni huni kwa kushirikiana na wanaharakati uchwara. Kwanza ataongoza vipi CHADEMA wakati muda wote Anashinda akizurura nje ya Nchi?
Quinine mimi mwenyewe nilikushangaa kwa uzoefu wako unachelewa sana kung'amua mambo. Ulinisikitisha aisee.Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.
Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.
Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Mzee wa kumwagamwaga machozi ya furahaUkitajwa tu umefika mzee wa KUBUBUJIKWA na machozi.
Pia Lissu atakuwa Rahisi kuaminika kwa System.CCM wanampigia mbowe debe kwa sababu CCM wanamhitaji sana mbowe..Lissu ni mwiba mkali kwa ccm. Hili wanalijua ccm wote
Mimi ni free thinkerSisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.
Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.
Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Asante kwa kulioni hili.Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na wengine wakitaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti, nikajiuliza kuna nini.
Nimegundua CCM inahofu kubwa endapo Lissu atakuwa Mwenyekiti na baadae kuja kuwa mgombea urais kumkabiri Samia ambaye bila shaka atakuwa mgombea wa CCM.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Wasiwasi wa wanaCCM ni kumuona Samia akipambana na Lissu wakati wa kampeni na kupewa makavu bila chega kitu ambacho hawataki kitokee.
Kwa hulka ya Samia (as a female) hapendi kusikia hash language anazotoa Lissu anapenda kusikia soft words kama alizokuwa anazipata chini ya uongozi wa Mbowe (aka Maridhiano).
Tulia Mwamba Lissu anakujaKamanda Erythrocyte bado hujatujulisha twende na nani Ni Yeye Lissu au Mbowe ? Tupe muongozo tuingie mzigoni kupiga kampeni🐼
Mimi nasubiria muongozo kutoka kwa Erythrocyte maana huyu ndio yupo ndani kabisa ya chama amekipambania mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, kata kwa kata, kijiji kwa kijiji akisema twende na huyu basi mchezo unakuwa umekwisha wazee tunapiga kampeniTulia Mwamba Lissu anakuja
Huyo Chawa tu na yeye anaangalia upepoMimi nasubiria muongozo kutoka kwa Erythrocyte maana huyu ndio yupo ndani kabisa ya chama amekipambania mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, kata kwa kata, kijiji kwa kijiji akisema twende na huyu basi mchezo unakuwa umekwisha wazee tunapiga kampeni