Baada ya kuona nimepata mirathi kawa mpole sana

Baada ya kuona nimepata mirathi kawa mpole sana

Mnaweza mkamshauri mwenzenu asimmpe huyo mmewe kisa tu wamenuniana wanalala vyumba tofauti....lkn hamja angalia sababu ilio pelekea walale tofauti usikute mwanamke ndio anamatatizo.

Pia anaweza asimpe mtaji mmewe kwa kumkomoa au kuwafurahisha washauri wake then hizo hela zikaenda kuteketea kwa mchepuko wa mwanamke H
Inategemea na akili za mwanaume....naweza kukuta mshikaji ni ndezi....akimpa hizo 5mill...akamwendea kwa mganga...dada akawa ndezi kabisa...hahahaha...bora amnyime tu...asubiri watoto wakijitambua awagawie mitaji
 
Acheni uchoyo wanawake wenzangu.

Akimnyima, hizo hela zitaisha tu, kama sio kwa matumizi mabaya basi kudhulumiwa au kupata hasara.

Japo sijajua ugomvi wao ukwapi, lakini kutoa 2M ni rahisi sana.

Maisha mafupi haya.
Sawa yeye amwambie tu ukweli kwamba siwezi kukupa pesa hata mia mbovu....mpaka chanzo cha matatizo yetu yatakapo isha kwanza....
 
Hamna kitu huyo Kama we Ni mfanyakazi nahujawahi kufanya biashara usijaribu kuifanyianakushauri moja Kati ya haya
1)Tafuta mahali ununue nyumba ndogo ambayo ipo Eneo ambalo Kodi ya pango inaridhisha ununue upangishe
2)Tafuta mahali ununue viwanja kadhaa sehemu ambayo imeanza kujengeka nunua hata vitatu vya mil 5,weka mipaka vizuri hata ya michongoma baada ya miaka mitanno uje uvipige Bei,Bei itakuwa imepanda hata mara tano
Kwenye dola hapo ni bonge la akili kichizi
 
Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.

Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.

Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Bia tamuu, ni mitungi nasema bia tamu[emoji444]
 
Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Nimependa sana ulivyoandika, short and clear halafu imeelewa.
 
Ishu itakuja kama mna watoto wanasoma Sasa hivi atakuachia majukumu yote ,kila ikitokea kitu atasema sina hela
 
Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.

Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.

Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Historia fupi sana mnajua wenyewe mnavoishi.
 
Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.

Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.

Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Historia fupi sana mnajua wenyewe mnavoishi.
 
Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.

Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.

Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Sister yangu alipigwa KO mpaka kesho huwa nikimfikiriaga namuonea huruma sana, kuna wanaume mafundi sana na kama anaujulia udgaifu wako lazima utaingia Kingi.
Tulia kimya na pesa zako, kwanza hazimuhusu.
Biashara zisizo na stress zipo nyingi ila wazo la kununua ardhi ndio makini zaidi. Ukiona vipi zifunge kwemye FIXED Deposot mwaka mzima hata kama utapat faida kidogo lakini zinakuwa salama.
 
Tiyari umeshamuelewa mwenzako.Sasa Kazi kwako
 
Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.

Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.

Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Nyuma ya mahusiano YEYOTE yale kuna MASLAHI , yale maslahi yakiondoka na mahusiano yanakufa
 
Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Endeleza msimamo wa kila mtu alale kwake, si mlikubaliana hilo?
 
Migogoro ilianza zamani jamani mpk chumba walikua hawalali pamoja. Hivyo sioni kama ndoa ina muda mrfu hii itasambaratika
 
Migogoro ilianza zamani jamani mpk chumba walikua hawalali pamoja. Hivyo sioni kama ndoa ina muda mrfu hii itasambaratika
Umefukua kaburi

Ila kuna kitu nimeona hapa, huyu bi dada, ametoka familia ya kishua...

Sasa atakuwa anakiburi cha pesa za kwao...
Hana heshima kwa mumewe...
 
Umefukua kaburi

Ila kuna kitu nimeona hapa, huyu bi dada, ametoka familia ya kishua...

Sasa atakuwa anakiburi cha pesa za kwao...
Hana heshima kwa mumewe...
Ana matatizo shoga yetu huyu.
 
Back
Top Bottom