NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,241
Mimi nataka kujua Aina ya mkojo tu. Hela zako sitakiEt siku hizi naandikiwa sms mchana mamy umekula..yan nacheka mpaka nakojoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nataka kujua Aina ya mkojo tu. Hela zako sitakiEt siku hizi naandikiwa sms mchana mamy umekula..yan nacheka mpaka nakojoa
Unauhakika wewe ni mwanamke!? Hebu jichungulie, u r so different kwakweliAcheni uchoyo wanawake wenzangu.
Akimnyima, hizo hela zitaisha tu, kama sio kwa matumizi mabaya basi kudhulumiwa au kupata hasara.
Japo sijajua ugomvi wao ukwapi, lakini kutoa 2M ni rahisi sana.
Maisha mafupi haya.
Huyu nae aki ACHWA SOMBELA atamsingizia shetani.Liverpool VPN njoo mpige konzi huyu jamaa[emoji1787]
Ufanye mpango muachane na huyo mwanaume. Vihela vyako visimfanye umnyanyase.Et siku hizi naandikiwa sms mchana mamy umekula..yan nacheka mpaka nakojoa
Kweli mkuu kama nahisi harufu ya manyanyaso ndani ya hiyo nyumbaUfanye mpango muachane na huyo mwanaume. Vihela vyako visimfanye umnyanyase.
Kama mmefunga ndoa peaneni talaka ule pesa zako kwa amani.
Umenotice kitu tofauti lakini kama kina usahihi mkubwa. Pesa ni vitu vinavyoisha, watu wengi hujisahau sana pesa ikiwa mbele ya macho yao.Ufanye mpango muachane na huyo mwanaume. Vihela vyako visimfanye umnyanyase.
Kama mmefunga ndoa peaneni talaka ule pesa zako kwa amani.
Hamna kitu huyo Kama we Ni mfanyakazi nahujawahi kufanya biashara usijaribu kuifanyianakushauri moja Kati ya hayaMiezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.
Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.
Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Ungeweza kupitia nyuzi zangu za nyuma ungeelewa nachokimaamishaUfanye mpango muachane na huyo mwanaume. Vihela vyako visimfanye umnyanyase.
Kama mmefunga ndoa peaneni talaka ule pesa zako kwa amani.
Kumfanyia mtoto wa watu ukatili wa namna hii ni dhambi kubwa, yaani unamtia umasikini na unamkimbia hakika nakwambia malipo yake utayasikia!Naomba Utuliee.
Shemeji yetu ni SABAYA ALIYECHANGAMKA.
ninao ushuhuda wa Watoto wa Ndugu mmoja ivi.
Baada ya Mirathi, Bidada akawa amepata 30+M
Jamaa yake akamdandiaa, penzi mototmoto , demu akawa kipofu.
Alipigwa KO moja hiyoooo , akabaki mweupe, mbaya zaidi, TUMBUA TUMBUA YA JPM ,IKAPITA NAYEEE TENA.
SIKU hizi wana wanajipigia tuuu ili demu aishi.
Mambo ya ndoa bana,mnapendana lakini inafikia mahali mnaanza kuviziana kama Chui na Swala,mko ndani huyu anawaza pesa za mwenzake huyu anawaza jinsi ya kumsaliti mwenzake,hapa ndio nagundua kuwa,chanzo kikubwa cha misuguano ndani ya ndoa ni kupishana kwa roho,mwanzoni roho zinakuwa zimeungana,lakini baadaye inapofikia zinaachana ndio tabu inapoanza.Nini kifanyike basi, Maombi na sala ni muhimu hapa,tena kwa kudhamiria...Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu.
Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa haeleweki tangu mirathi imetoka kawa mpole mapenzi motomoto simuelewi kaamua kujirekebisha au nii hii mirathi anaiwinda.
Hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nini.
Unauhakika wewe ni mwanamke!? Hebu jichungulie, u r so different kwakweli
Vitu kama hivi kuamua ni kazi sana. Kikubwa mleta mada unajua uamuzi sahihi ni upi. Lakini kutoa hata siku moja hakujawahi kuleta umaskini, kikubwa mtoa riziki ni Mungu.
Mkuu Serikali hihiii inayoamka na sera tofauti kila siku aisee hapana... Kama Kuna biashara siwezi Kufanya basi ni inayohusisha taasisi za serikaliSister nakushauri nunua bond za serikali hautojuta ,fixed account unapewa riba ndogo sana yaani Sana. Mfano nishawahi taka kuweka 35M nikaambiwa for 3 months nitapata 135k nikaona ni ujinga. Mana riba zake kwa mwaka ni 3-5% kwa mwaka. So piga hesabu. Ila bond za serikali unapata riba from 12-17 kutegemeana kuwa unaikopesha serikali muda gani. Kumbuka huwa ni kuanzia miaka mitano ndipo unapopata riba nzuri ingawa Kuna bills and notes za miezi ama under one year.
Ila Kama hautolkuwa na shida hela iyo. Utalipwa riba yako semi annually or quarterly.
Kama ukiona vipi Kuna jamaa akatoa ushauri mzuri Sana kuwa nunua ardhi Ila usiwe na haraka.
Mana ardhi huwa hakuna inflation Kama hizo bonds or fixed account.ardhi inaweza ikakupa maisha. Mana ikitokea Boss mmoja amependa eneo lako unatangaziwa day la maana unashawishika unaiuza.yaani ulinunua 3-5M ukauza even above 100M. Mana inategemeana na potentiality ya eneo husika.
Ardhi ni Mambo yote Mana kila siku Kuna watu wanaongezeka kuhitaji ardhi ya kujenga kumbuka saivi vijana walio chini ya 20yrs hao after 10yrs wote wenye from 15+ watahitaji kuwa na malazi so laizma land value iongezeke
Kununua bond za serikali ni kuwa umeikopesha serikali wanakulipa riba.Mkuu Serikali hihiii inayoamka na sera tofauti kila siku aisee hapana... Kama Kuna biashara siwezi Kufanya basi ni inayohusisha taasisi za serikali