Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanajaza semi trailer 3 na wote hakuna anayeoa...Heri yake kidogo mlolongo wake ni wa ndoa japo unamletea matatizo atakuwa na nyota ya ndoa
Wengne mechi za njee na watoto wa njee ya ndoa
Mie nilivyosoma nikashangaa kabisa.....huyo sadifu nae akili zake sio nzuri, utamdhalilishaje mke wako kuwa eti umemlipia mil 32 akatibiwe india? yule si ni mke wake alitegemea nani amsaidie? huyo mwanaume bure kabis
Baada ya kupewa talaka kufuatia madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Khamis Juma kisha kuzimia na kulazwa hospitalini kwa mshtuko, hali ya kiafya ya staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma sasa inadaiwa kuzidi kuwa mbaya.
![]()
Akielezea hali ya Wastara, babu wa Wastara aliyelazwa Hospitali ya Misheni ya St. Herry Heath Centre mkoani Morogoro, Abdulaziz Babu ambaye naye ni msanii maarufu wa filamu mkoani hapa alikuwa na haya ya kusema:
“Tangu aolewe na huyo Sadifa, ndoa yake imekuwa na migogoro mingi. Majuzi Wastara aliamua kuachana na mheshimiwa huyo kisha akabeba vitu vyake na kuja kwangu hapa Morogoro.
“Aliamua kuja kwangu kupumzisha akili yake. Chanzo cha mjukuu wangu kuugua ni huyo mheshimiwa aliyekuwa anaposti kashfa kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya mjukuu wangu.
“Baada ya kuona hizo kashfa ndipo mjukuu wangu akapatwa na presha na kisukari kisha akapoteza fahamu.
“Niliamua kumkimbiza hapa hospitalini na hali yake ni mbaya kama unavyomuona. Kikweli hali hii inasikitisha na inaniumiza sana lakini najua Mungu anampigania.”
Alipoulizwa kama Wastara akipona na kuweka mambo sawa na Sadifa atarudi kwenye ndoa yake, babu huyo alijibu kwa jazba:
“Hatuko tayari mtoto wetu kuendelea kupata manyanyaso kama aliyokutananayo kwa kipindi kifupi kutoka kwa huyo mwanaume.
“Kwanza Wastara mwenyewe anajuta na ameapa kutorudi tena kwa Sadifa.”
Maneno ya Sadifa:
“Wastara ni mlemavu, hana baba wala mama halafu leo hii aniseme vibaya?”
Alisema kuwa hadi akaamua kumuoa ni kwamba alimpenda hivyo anashangaa kwa nini amseme hivyo.
Wastara amepitia katika uhusiano na ndoa kwa wanaume kadhaa. Awali alizaa na Mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Msafiri Kombo ‘Solo Thang’.
Mwaka 2000, alifunga ndoa na Ahmed Kushi kutoka Zanzibar na kuzaa naye mtoto mmoja aitwaye Fares. Baadaye alifunga ndoa na msanii mwenzake, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ ambaye kwa sasa ni marehemu na alizaa naye mtoto mmoja aitwaye Farheem kabla ya kufunga ndoa na Sadifa alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Bond Bin Suleiman.
ila inasemekana watu wenye ulemavu wanakua ni wasumbufu sana, mara nyingi wanasumbuliwa na inferior complex ...na huyo babu asilalamike sana ashukuru mjukuu wake katibiwa India , angezinyea wapi pesa zote hizo? mijitu mingine bhana ovyoo
Anajulikana na nani?
kwa hyo ndo unajifanya unajua sana kiingereza au?? mxiee ebu nitolee uchawi wako apaInferiority Complex Mkuu.
kwa hyo ndo unajifanya unajua sana kiingereza au?? mxiee ebu nitolee uchawi wako apa
Halafu mbunge tena mwanaume kha!!, inabidi hao wabunge kabla ya kuapishwa wapimwe akili kwanza...unamdhalilisha mke wako eti anaomba pesa kila wakati sasa alitaka amwombe nani?Mie nilivyosoma nikashangaa kabisa.....
Inawezekana alikuwa anamnyasanyasa kisa mil 32
aliyekwambia tupo darasan nani humuSasa Kama Hukijui Kweli au Umekosea Kuandika Sisi Wordsmiths Tusikurekebishe? Swine.
Binamu sadifa na stara nani mzima unadhani? Wote wagonjwa tuhuyo sadifu nae akili zake sio nzuri, utamdhalilishaje mke wako kuwa eti umemlipia mil 32 akatibiwe india? yule si ni mke wake alitegemea nani amsaidie? huyo mwanaume bure kabis