Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
- #61
teh teh tehnawe utakua wale wale tu, baba wengi mxyuuuu mafii
ngoja nielekee jukwaa la wakubwa ntarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh tehnawe utakua wale wale tu, baba wengi mxyuuuu mafii
Namie naja huko, make hapa watoto wa kambo watantoa roho 😀😀😀teh teh teh
ngoja nielekee jukwaa la wakubwa ntarudi
Sasa Kama Hukijui Kweli au Umekosea Kuandika Sisi Wordsmiths Tusikurekebishe? Swine.
Ha haa, yaani unamrekebisha na badala ya kushukuru au kujifunza kimya kimya anajifanya mjuaji
100% source ya hii news ni Global Publishers! Magazet ya udaku bwana!Baada ya kupewa talaka kufuatia madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Khamis Juma kisha kuzimia na kulazwa hospitalini kwa mshtuko, hali ya kiafya ya staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma sasa inadaiwa kuzidi kuwa mbaya.
![]()
Akielezea hali ya Wastara, babu wa Wastara aliyelazwa Hospitali ya Misheni ya St. Herry Heath Centre mkoani Morogoro, Abdulaziz Babu ambaye naye ni msanii maarufu wa filamu mkoani hapa alikuwa na haya ya kusema:
“Tangu aolewe na huyo Sadifa, ndoa yake imekuwa na migogoro mingi. Majuzi Wastara aliamua kuachana na mheshimiwa huyo kisha akabeba vitu vyake na kuja kwangu hapa Morogoro.
“Aliamua kuja kwangu kupumzisha akili yake. Chanzo cha mjukuu wangu kuugua ni huyo mheshimiwa aliyekuwa anaposti kashfa kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya mjukuu wangu.
“Baada ya kuona hizo kashfa ndipo mjukuu wangu akapatwa na presha na kisukari kisha akapoteza fahamu.
“Niliamua kumkimbiza hapa hospitalini na hali yake ni mbaya kama unavyomuona. Kikweli hali hii inasikitisha na inaniumiza sana lakini najua Mungu anampigania.”
Alipoulizwa kama Wastara akipona na kuweka mambo sawa na Sadifa atarudi kwenye ndoa yake, babu huyo alijibu kwa jazba:
“Hatuko tayari mtoto wetu kuendelea kupata manyanyaso kama aliyokutananayo kwa kipindi kifupi kutoka kwa huyo mwanaume.
“Kwanza Wastara mwenyewe anajuta na ameapa kutorudi tena kwa Sadifa.”
Maneno ya Sadifa:
“Wastara ni mlemavu, hana baba wala mama halafu leo hii aniseme vibaya?”
Alisema kuwa hadi akaamua kumuoa ni kwamba alimpenda hivyo anashangaa kwa nini amseme hivyo.
Wastara amepitia katika uhusiano na ndoa kwa wanaume kadhaa. Awali alizaa na Mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Msafiri Kombo ‘Solo Thang’.
Mwaka 2000, alifunga ndoa na Ahmed Kushi kutoka Zanzibar na kuzaa naye mtoto mmoja aitwaye Fares. Baadaye alifunga ndoa na msanii mwenzake, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ ambaye kwa sasa ni marehemu na alizaa naye mtoto mmoja aitwaye Farheem kabla ya kufunga ndoa na Sadifa alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Bond Bin Suleiman.
Ana tamaa,si mtu wa kuridhikaInavyoonekana kwa Wastara hajui anachokitaka au ana unrealistic expectations kwa wanaume anaoamua kufunga nao ndoa. Htimaye anakuwa disappointed (ukiachilia mbali huyo mume aliyefariki)
She needs to take it easy with marriage.
Umesahau uko jukwaa gani...100% source ya hii news ni Global Publishers! Magazet ya udaku bwana!
talaka imepitia instagram???? ndo mambo ya usasa/digitally hayo mkuu.Ndio hapo sasa pia nashangaa anapata mshtuko kwani Ni mgeni na hizo talaka? Au Kwa kuwa Safari hii talaka imepitia Instagram ahahahahahhaha
Haya mambo kama ndivyo yanavyofanyika tunaelekea kubaya. Hakuna mafundisho ya dini yanayotuasa kufanya hivi.talaka imepitia instagram???? ndo mambo ya usasa/digitally hayo mkuu.
Haiwezi kutulia... Inawasha muda wotemhhh na yy anabid aitulize mbunye tu
Nlikuwa cjajua kama ana list ndefu hivi... Atulie tu sasaKipaji na hobby