Baada ya kupewa Talaka, Wastara Sasa Hali Mbaya

kazimia kwa furaha yakuweza kujinasua kwa muheshimiwa sana amaaa anaumia kumpoteza mheshimiwa
 

Mnapoteza Muda Bure Kumuwaza ILA Ukweli Ni Kwamba Huyu Dada Ana LAANA Ya Sajuki Kwani Haiwezekani Kabisa Umetoka Tu Kumzika Mumeo Na Hazijapita Hata Wiki Tatu Tayari Akawa Ameanzisha Mahusiano Na Huyo Mbunge. Dada Zetu Hizi TAMAA Na DHIKI Mnazoziendekeza Zitazidi Tu KUWAUMBUENI Na Hivi MNATUDHARAU Sisi Mboga Moko Tunawatakieni Tu Kila La Kheri Na Hao WANAUME MATAJIRI Mnaowapapatikia. Halafu Ninachosikitika Kuna Members Humu Wakati Wastara Anaolewa Na Huyu Mbunge Walikuwa WAKIMPONGEZA KWELI Na Nashangaa Tena Leo Ndiyo WALE WALE Wanaomcheka Na Kumdhihaki. Hakika Sasa Nimeamini Ile Kauli Moja Niliyowahi Kuambiwa Na Mtu Mmoja Kuwa WATANZANIA WANA VITU VINGI NA KILA KITU ILA TATIZO LAO KUBWA NA AMBALO NDIYO LINAWAGHARIMU JAPO HAWATAKI KUAMINI NI TABIA YAO YA UNAFIKI KAMA SIYO UNDUMILAKUWILI.
 
hicho anachokitafuta kwenye ndoa atakipata tu muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…