Baada ya kupewa Talaka, Wastara Sasa Hali Mbaya

mwanaume wa kweli huwezi kwenda Kumsema mkeo kwenye social media hata kama kakosea sana
 
Jamani! Isijekuwa hii ni bongo za muvi maana tumeambiwa hapo kuwa babu nae pia ni msanii wa filamu
 
Alianza yy wastara haumbuki kumsema mume huko insta akasahau jamaa n mwanasiasa mkubwa
 
Ha haa, yaani unamrekebisha na badala ya kushukuru au kujifunza kimya kimya anajifanya mjuaji

Mpuuzi Huyo Mkuu Achana Nae. Watanzania Ndivyo Tulivyo Ukikosea Halafu Mtu Tu Akikurekebisha Unaona Kama KAKUDHARAU Wakati Kumbe Amekusaidia. Mbona Hata Mimi Sometimea Huwa ( Navapa ) Nakosea Humu Na Wajuvi Hunirekebisha Na Wala Sijisikii Vibaya Na Tena Huwa Nawashukuru Sasa Yeye Kukosolewa Ndiyo Yamtoke Maneno Yote Hayo? Huo Muda Aliopoteza Kunijibu Na Kunitolea Maneno Yake Ya " Shomboninyo " Angeutumia Kujifunza Maneno Kadhaa Ya Kiingereza Sasa Hivi Angekuwa Wapi? Nimeshawazoea Hao Mkuu Wala Wasikupe Taabu.
 
100% source ya hii news ni Global Publishers! Magazet ya udaku bwana!
 
Inavyoonekana kwa Wastara hajui anachokitaka au ana unrealistic expectations kwa wanaume anaoamua kufunga nao ndoa. Htimaye anakuwa disappointed (ukiachilia mbali huyo mume aliyefariki)

She needs to take it easy with marriage.
Ana tamaa,si mtu wa kuridhika
 
Wastara km anataka aheshimike aachane kwanza na hawa wanaume. Ajenge maisha yake mwenyewe. Kuwa na msururu wa list ya wanaume SIYO sifa nzuri.
Sijui tuseme ni fasheni au ni tamaa ya maisha mazuri na pesa? Jamii inakuheshim sana dadaang lakin kwa hii tabia yako inakufanya uonekane jamvi la wageni. Simama kidete jenga maisha yako; hawa wanatosha:

1. Solo Thang
2.Ahmed Kush
3.Sajuki
4.Bond
5.Sadifa
6.Na wengine ambao hta hawajulikani
 
talaka imepitia instagram???? ndo mambo ya usasa/digitally hayo mkuu.
Haya mambo kama ndivyo yanavyofanyika tunaelekea kubaya. Hakuna mafundisho ya dini yanayotuasa kufanya hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…