Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Nyie hamjui tuu...Hawa walioana kibiashara kutimiza maslahi ya kila pande!ni hivi; wastara aliumia mguu so akahitajika mil 32 akatibiwe mguu india na ye hizo hela angezitoa wapi wakati maisha yake ya kibongo muvi ya kubangaiza na mpenzi wake aliekuwa anapendana nae kweli mda huo ni bond(licha ya huyu kijana bond kuandamwa na kashfa na skendo kibao za kuwabambika mimba wadada na kuwakataa bado wastara akaendelea nae...Kweli walipendana).Na bond pia hakuwa na uwezo wa kugharamia matibabu ya wastara!
Baada ya mda wastara akaombwa ndoa ya fasta na ya siri na mheshimiwa kwamba akimuoa atampelka india kutibiwa na gharama zote atalipa (hapa mheshimiwa alitaka kufidia gharama zake za india kwa kuila papuchi ya mtoto mzuri but aliogopa kuzini coz ana ndoa na ingekuwa kashfa ye kutembea nje ya ndoa ukizingatia cheo chake na heshima na ndoa yake anaipenda hakutaka ife ndo mana akaingia gia ya kuoa sabb anajua angeweza kumpa talqka hata wakitibuanq kidg sio kama ndoa za kikristo hakuna kuachana ispokua uasherat,so akaamua kuila papuchi kihalali na kufidia yake hela cz mjini hakuna cha bure!)
Wastara sabb alikua desperate kupona mguu wake na akakubali upesi na akiwa kwenye uhusiano na bond,kesho ndo harusi ifungwe,akamjulisha anampenda but hana jinsi imebidi aolewe ili aende india,bond alijarbu kumshawishi ikashindikana!na kesho wastara anaolewa kwao bond hakuamin kama ni kweli akajaribu kunywa sumu but aliokolewa na ndugu zake!
So hapo mmeona hao watu hawakupendana na biashara imeisha ndo mana wamezinguana.Wastara anampenda wake na yupo anaempenda labda ye hakujua kwamba huku anaolewa kimaslahi na hajapendwa na hakupata mda wa kufikiria cz ilikua ghafla.
Baada ya mda wastara akaombwa ndoa ya fasta na ya siri na mheshimiwa kwamba akimuoa atampelka india kutibiwa na gharama zote atalipa (hapa mheshimiwa alitaka kufidia gharama zake za india kwa kuila papuchi ya mtoto mzuri but aliogopa kuzini coz ana ndoa na ingekuwa kashfa ye kutembea nje ya ndoa ukizingatia cheo chake na heshima na ndoa yake anaipenda hakutaka ife ndo mana akaingia gia ya kuoa sabb anajua angeweza kumpa talqka hata wakitibuanq kidg sio kama ndoa za kikristo hakuna kuachana ispokua uasherat,so akaamua kuila papuchi kihalali na kufidia yake hela cz mjini hakuna cha bure!)
Wastara sabb alikua desperate kupona mguu wake na akakubali upesi na akiwa kwenye uhusiano na bond,kesho ndo harusi ifungwe,akamjulisha anampenda but hana jinsi imebidi aolewe ili aende india,bond alijarbu kumshawishi ikashindikana!na kesho wastara anaolewa kwao bond hakuamin kama ni kweli akajaribu kunywa sumu but aliokolewa na ndugu zake!
So hapo mmeona hao watu hawakupendana na biashara imeisha ndo mana wamezinguana.Wastara anampenda wake na yupo anaempenda labda ye hakujua kwamba huku anaolewa kimaslahi na hajapendwa na hakupata mda wa kufikiria cz ilikua ghafla.