Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,792
Hili jambo lisikie tu kwa watu baki, baada ya kupoteza tu kazi hata marafiki wamenikimbia.
Hadi naandika huu uzi mida hii moja haikai mbili hakai, hakuna kitu kinauma kwa mwanamme kama kuamka na kutokujua unaamkia wapi.
Niwakumbushe tu wanamme wenzangu wale mliopo kazini, heshimuni sana hizo kazi mlizonazo kwa wakati huu maana bila kazi ni kama upo uchi.
Mwisho kabisa tukumbuke kuwekeza pale tunapokuwa huko makazini, hizi kazi za private ni mtihani hasa maana muda wowote unaachishwa kazi.
Sitaki kuamini mimi huyu leo hata hela ya daladala inanitoa jasho 😒
Ni
Hadi naandika huu uzi mida hii moja haikai mbili hakai, hakuna kitu kinauma kwa mwanamme kama kuamka na kutokujua unaamkia wapi.
Niwakumbushe tu wanamme wenzangu wale mliopo kazini, heshimuni sana hizo kazi mlizonazo kwa wakati huu maana bila kazi ni kama upo uchi.
Mwisho kabisa tukumbuke kuwekeza pale tunapokuwa huko makazini, hizi kazi za private ni mtihani hasa maana muda wowote unaachishwa kazi.
Sitaki kuamini mimi huyu leo hata hela ya daladala inanitoa jasho 😒
Ni