Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Yapata miaka mitatu nipo kwenye mahusiano na mpenzi wangu.
Mpenzi wangu nilimuacha nikaenda chuo miezi sita.
Narudi home baada ya kutoka masomoni namkuta ana mimba ya miezi kama miwili, tuliahidiana kuoana.
Naomba ushauri wenu wakuu
Mpenzi wangu nilimuacha nikaenda chuo miezi sita.
Narudi home baada ya kutoka masomoni namkuta ana mimba ya miezi kama miwili, tuliahidiana kuoana.
Naomba ushauri wenu wakuu