Baada ya kusema hakuna wa Kumuweza na sasa Mashambulizi yanazidi Kwake, Haji Manara atishia kuwafanyia Kitu mbaya wanaomshambulia Mitandaoni

Kuna siku Tunu alimbana alimuuliza kuwa ina maana yale uliyokuwa unaongea ulipokuwa simba kama ni maneno tu, tutaamini vipi haya unayoongea leo? na haya ni maneno tu?
alichojibu unafikiri kilieleweka basi! alijambajamba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…